Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

HAYA MAMBO SIJUI KAMA WANASOMAGA WANACHOANDIKA UNAAMBIWA ZIMA SIMU YAKO TAFADHALI PEMBEN UNAWEZA LIPIA MAFUTA VIA TIGOPESA..MPESA...VODA PESA... NIKISHAZIMA NALIPAJE A.A NATUMIA NGUVU ZA ZAGI,????
2 Reactions
4 Replies
5 Views
Mm Kaz yangu Ni mwalimu ila hapa katka nimeamishwa shul nyingine mtaani x Sasa namuona wife nae amenza kuuza juice kwa kutembeza mtaani nimuache au nimkataze Mke anavutia sna napatwa na wasi...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
"Barnaba usijisahau kama umemuoa mtoto wa nani, unajua kabisa wewe ni mume wa mtu unaenda kupiga picha kama zile, umeweka mkono kwenye chup! ya mwanamke mwingine wakati unajua hiyo ni nguo ya...
3 Reactions
10 Replies
42 Views
Sijawahi kutumia TikTok hapo kabla, ni jana tu nimejiunga huko mjini TikTok. Hii ni baada ya mshikaji wangu mmoja mara kibao amekuwa akiniambia kuwa kule kuna vichekesho ambavyo kama huna mbavu...
2 Reactions
16 Replies
68 Views
Kwa mfano Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia alishiriki Birthday ya Mbunge Mstaafu wa Chadema Mbeya Mjini Bilionea Sugu kuna ubaya gani Sugu Kuomba hela ya Kampeni kwa mama Au pale Kanisani Machame...
2 Reactions
48 Replies
466 Views
Mwaka huu nafikisha miaka 32 sina mke aisee... wapenzi nilishakuwaga nao huko nyuma tulishaachanaga.. kwa changamoto za mahusiano kila nikitaka kuoa nakutana na mwanamke ana mtoto yaani...
1 Reactions
25 Replies
240 Views
Raia 12 wa Malawi ni miongoni mwa raia 40 wa Kigeni waliokamatwa baada ya kuacha kazi kwenye mashamba ya Arava na Lion kutokana na kulipwa Ujira mdogo na kwenda kutafuta kazi za zenye malipo bora...
0 Reactions
4 Replies
20 Views
Wengi wanaopenda kusema hii kauli ya TAFUTA HELA ni mafukara wazuri tu na ndio maana kuna muda naiona miyeyusho.
1 Reactions
22 Replies
102 Views
Hizi Ndio habari mpasuko nilizopenyezewa hivi punde kwamba Muungano wa Vyama vya Demokrasia Duniani utatuma Waangalizi wake kwenye Baraza Kuu la Chadema litakalochagua Mwenyekiti wa taifa Ngoja...
0 Reactions
6 Replies
139 Views
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc Jini Sharif, Maimuna, etc Kwanini?
37 Reactions
254 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,758
Posts
49,554,420
Members
667,630
Latest member
petro isamba
Back
Top Bottom