Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Arusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA. Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo...
14 Reactions
61 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
Yaaaan alieeendaaa kuangalia Simba ana moyoo jamani 😂....... Naapendaaa nimoongezeee Sanaa sanaaa na pia kumpaaa uthibitishooo mbingun inamhusuuu piga ua Wish u all doest watani wanguu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na...
1 Reactions
4 Replies
41 Views
Hii barabara ya bigwa kisaki serikali inaonyesha dharau ya wazi kwa watu WA huku imagine magari yanasafiri kilomita 80 moro mvuha kwa siku tatu. Halafu bila aibu ccm watakuja kuomba tena kura.
0 Reactions
5 Replies
57 Views
Baada ya msiba mzito ulioikumba bendi ya FM academia baada ya kuondokewa na mpendwa wao marehemu Malou Stonch, mengi yameibuka. Akizungumza kwenye chombo kimoja cha habari, kiongozi wa kundi hilo...
0 Reactions
14 Replies
816 Views
Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa: Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL...
1 Reactions
14 Replies
170 Views
Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe. Aidha Lissu...
10 Reactions
72 Replies
2K Views
Sakata la Maofisa wa Serikali waliojitengenezea mfumo bandia wa Makusanyo ya Fedha za Umma limezidi kushika Kasi na kuchukua sura Mpya. Awali TAKUKURU iliwatia mbaroni watuhimiwa 40 lakini baada...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Zamani ilikuwa inajulikana kuna vijana wa hovyo walikuwa wakijiita wadudu wa dampo jijini Arusha ambao hasahasa walikuwa wakijihusisha na muziki wa Hiphop. Na hata wengi wao walikuwa wakivuka...
0 Reactions
2 Replies
52 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,812
Posts
49,555,644
Members
667,655
Latest member
WhiteShadow
Back
Top Bottom