Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

RAIS SAMIA AWEKWE KWENYE FEDHA, TUACHE WIVU NA CHUKI. Na; Suphian Juma Nkuwi Nilishalisema sana hili humu mtandaoni tangu Mhe. Rais Dkt Samia akiwa na miaka miwili ya Utumishi wake Ikulu. Na...
7 Reactions
152 Replies
4K Views
Aisee hii mikopo n balaaa inatesa wamama wengi sana ingawa awajajua Majuzi nilikuwa napga kwa shemeji yenu ana simu mbili..ya kwanza ilibaki nyumban ya pili piga kimya aipatikan na kaaga anaenda...
1 Reactions
11 Replies
241 Views
Serikali/viongozi jitahidini kutimiza wajibu wenu ili kukwamua hali ngumu za kimaisha kwa watanzania. Mabeki pamoja na taasisi nyingine za kifedha zinatumia ugumu wa maisha kukausha damu...
0 Reactions
1 Replies
32 Views
Habari wakuu, Hii mitandao imekuwa ikiwapa watu umaarufu na kisha kuwapoteza, Mara nyingi mtu anaeibuka kuwa Maarufu mtandaoni huwa hategemei kuwa kituko chake kitampa umaarufu bali hutokea tu...
15 Reactions
54 Replies
3K Views
Habari Kuna jambo limenitatiza sana, nina mke naishi nae ana mtoto mdogo ananyonyesha. Ameweka kitanzi kama njia za uzazi. Nilisafiri mkoani tukawa tunachart akaniambia nikifanya mapenzi na wewe...
7 Reactions
74 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Huwa nashangaa sana ni vipi Lissu ni kiongozi ndani ya CHADEMA, ni vipi watu wenye akili timamu na wanaojitambua wanaweza kumpatia Lissu uongozi wa juu wa chama, nafasi...
2 Reactions
101 Replies
1K Views
1. Ulikuwa moto wa nyika Marekani; wanafunzi na wananchi kuchoshwa na siasa za nchi yao kuelekea Gaza, Palestine na Israel; sasa unawaka Canada! 2. Kwamba kinachoendelea ni udhwalimu? Kwani...
0 Reactions
2 Replies
39 Views
Ujumbe huu, umfikie Mkuu wa mkoa wa Mbeya, DC Chunya, DeD chunya,. Mh Jumaa aweso, ukifika Fanya ukaguzi wa neo Hilo, vifo ni vingi sana na hakuna mtu wa kukuambia Hali ya eneo Hilo. Kijiji...
3 Reactions
7 Replies
76 Views
Hallo wana JF. Nimekuja na hoja binafsi, Kwanini sasa hivi kumeibuka wimbi la wanaojiita wachungaji, pale wanapofanya maombi either kwa njia ya hadhara au kwenye TV au Radio na mitandao ya Jamii...
0 Reactions
13 Replies
161 Views
Hii Dar es Salaam sijajua ni kwa nini watu wanaipaparukia kiasi hichi, huu mkoa una paishwa tu lakini hamna kitu kabisa. Mkoa umejaa shida kila mahala. Nitaongelea sekta ya usafiri, japo ki...
46 Reactions
154 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,641
Posts
49,552,042
Members
667,564
Latest member
Imani Racton Felecian
Back
Top Bottom