Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salaam kwenu wabongo wenzangu, Bila kupoteza muda naomba Kusaidiwa ushauri kama ifuatavyo; Ninataka cheti cha kuzaliwa cha binti yangu wa nje mwenye miaka 13. Nilipewa procedures kwamba niombe...
0 Reactions
3 Replies
45 Views
CHRISTINA SHUSHO AMEMKOSEA MUMEWE, ATUBU Kitendo cha Christina Shusho kusema kwamba aliozeshwa akiwa mdogo bila idhini yake ni kumdhalilisha huyo aliyekuwa mume wake kwamba alikuwa mkubwa sana...
1 Reactions
14 Replies
103 Views
Akizungumza na wananchi wa Iringa, leo Mei 2, 2024, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais samia anatumia picha za viongozi waandamizi wa Chama chake akiwemo yeye kuweka mabangi...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc Jini Sharif, Maimuna, etc Kwanini?
21 Reactions
162 Replies
2K Views
UWEPO WA KIMBUNGA “HIDAYA” KATIKA BAHARI YA HINDI MASHARIKI MWA PWANI YA MTWARA Dar es Salaam, 02 Mei 2024: Kufuatia taarifa iliyotolewa jana tarehe 01 Mei, 2024 na Mamlaka ya Hali ya Hewa...
0 Reactions
16 Replies
576 Views
Kutoka insta live ya ally Kamwe , Leo engineer HERSI ametupa wananchi breaking news ya moto 😅😅 Engineer HERSI amesema kuwa katika msimu huu wa usajili dirisha kubwa , Kuna mchezaji mmoja uyo...
0 Reactions
14 Replies
238 Views
Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu...
19 Reactions
50 Replies
2K Views
1. Kwamba kinachoendelea Marekani ni jitihada za Serikali ya huko kupinga haki ya watu kujieleza?! 2. Kutokuheshimiwa huku kwa wazi kwa misingi ya kawaida kabisa ya utawala wa sheria, ni wa...
1 Reactions
41 Replies
398 Views
Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nauza saloon yangu ya kiume(barbershop) iliyopo makongo stend (mageuzio). Nimepata uhamisho wa kikazi hivyo haina budi kuiuza kwani...
3 Reactions
5 Replies
125 Views
  • Suggestion
Tanzania ni mojawapo ya nchi zilizo na idadi kubwa ya mifugo barani Afrika. Sekta ya ufugaji ni muhimu sana katika uchumi na maisha ya watu wa Tanzania. Idadi kubwa ya mifugo inajumuisha ng'ombe...
0 Reactions
1 Replies
31 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,502
Posts
49,548,414
Members
667,505
Latest member
tonnie de viola
Back
Top Bottom