Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mnakubali vipi Mzanzibari kuongoza Bara, Tuanze na Shaka hamdu Shaka mkuu wa wilaya ni Mzanzibari mbona Zanzibar hakuna mtanganyika anayeongoza?
2 Reactions
23 Replies
252 Views
Habari wana jf! Naomba msaada kwa anayefahamu taratibu za kuhama kutoka halmashauri kwenda mashirika ya umma. Mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la TANESCO kwa miaka mitano nikiwa...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Tulipo zaliwa hapa duniani tumekuta tayari kila kitu kipo hatujagundua wala kuvumbua. Tulio zaliwa kwemye ukristo tulipo zaliwa tu tukapewa Jina ..la kikristo, tukapewa Dini ya aukristo tukaambiwa...
1 Reactions
2 Replies
46 Views
Hivi kwanza ni kwanini shule nyingi tena za serikali hazina uzio? Nyingine za wasichana na wanaishi hosteli, hivi kweli tangu uhuru mpaka sasa tumeshindwa tu kuweka uzio kwenye mashule yetu? Shule...
2 Reactions
29 Replies
201 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
Kwa niaba ya Waandaaji wa wiki ya Maandamano ya Amani (awamu ya kwanza) na kwa niaba ya Wapenda haki wote duniani, nachukua Fursa hii kuwashukuru watu wote kutoka pande waliowezesha Maandamano...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona...
29 Reactions
285 Replies
9K Views
Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu...
16 Reactions
42 Replies
2K Views
Sikukuu ya Mei Mosi, inayojulikana pia kama Siku ya Wafanyakazi Duniani, inaadhimishwa kwa kusherehekea mchango wa wafanyakazi katika kujenga jamii na kuboresha hali zao za kazi. Sikukuu hii ina...
1 Reactions
2 Replies
16 Views
Waziri Biteko hongera kwa kazi nzuri,ingawa sioni kwamba ni sawa hasa kukupongeza kwa kazi ambayo ni wajibu wako kama Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.Hata hivyo nimekupongeza kwa kuwa...
1 Reactions
7 Replies
132 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,392
Posts
49,545,426
Members
667,407
Latest member
Masele mhunzi
Back
Top Bottom