Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Sticky
  • Suggestion
Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register Mshiriki anaweza kutumia jina halisi au la kubuni ‘pseudonym’. Mshiriki atatakiwa kutaja...
12 Reactions
70 Replies
4K Views
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc Jini Sharif, Maimuna, etc Kwanini?
5 Reactions
21 Replies
192 Views
USHAINAA UNATOQ SADAKA NA MICHANGO KWA AJILI YA UJENSI WA SHULE LAKIN UNASHINDWA KUSOMESHA MWANAO HII NDIOO KICHEKESHOO KINACHOENDELEEA YAAN ADA ZAO KAMA AWATAKI MTU KUSOMA HAPO USHAURI TU KWA...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Hello great thinkers, Mwaka 2021 nilikua nafanya mtihani wangu wa mwisho wa diploma ya pharmacy lakini sikuweza kumalizia mitihani yangu ya mwisho miwili iliyokua inafanyika kesho yake kwasababu...
1 Reactions
13 Replies
184 Views
Hivi kwanza ni kwanini shule nyingi tena za serikali hazina uzio? Nyingine za wasichana na wanaishi hosteli, hivi kweli tangu uhuru mpaka sasa tumeshindwa tu kuweka uzio kwenye mashule yetu? Shule...
2 Reactions
30 Replies
201 Views
Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 now,but mwakani mwez 12 mwakani ninatimiza miaka 29. Kipindi nilipokuwa nina miaka 21-25 nilikuwa namshangaa ndugu yangu mmoja kwamba...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar. Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
2 Reactions
164 Replies
2K Views
Naona baada ya kutafuta wapi na nini watanzania wanataka, sasa umeshaelewa, kamatia hapohapo, awareness ifanyike, na hiyo ndio ticket yenu itakayo win mioyo ya wapigakura mwaka huu serikali za...
8 Reactions
36 Replies
836 Views
Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa. Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar. Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni...
12 Reactions
135 Replies
4K Views
Habari yenu wana JF nipo kwenye mahusiano mwanaume, ambaye hata sielewi anaumwa au ana tatizo gani, nimejitaidi kwa hali lakini bado hapati afadhali. Yaani mkikutana faragha mashine yake...
3 Reactions
82 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,395
Posts
49,545,520
Members
667,407
Latest member
Masele mhunzi
Back
Top Bottom