Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda...
32 Reactions
228 Replies
6K Views
Mimi siyo mrefu wala mfupi, lakini naweza nikawa mrefu kwa watu wengi wa Njombe! Kwa siku chache nilizokaa Njombe, nilibaini ukweli kuwa ukubwa wa mwili hauamui "ukubwa" wa mtu. Anaweza akawa na...
39 Reactions
153 Replies
5K Views
Wakatoliki ni imani Mnapokua mnatetea mambo au kupeleka mambo kidini mjue sio ni wasomi kuliko dini nyingine. Na mnapoonesha kutubagua na kukaa kimya msidhani sisi ni wajinga hapana, tunajitahidi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Watu ni mtaji mkubwa sana katika kuleta mabadiliko yo yote yale ya kijamii. Haijalishi watu wako na utayari kiasi gani, pasipo kiongozi wa "kulianzisha", matamanio yao yatasalia ndotoni. Wakati...
0 Reactions
1 Replies
17 Views
Not to be rude or anything, but I feel like our elders really need to start thinking about retiring. Gosh, I swear employment has been hectic. They come up with the excuse that youth don't want...
1 Reactions
11 Replies
75 Views
Kuna Mdada ni mteja wangu mkubwa katika biashara Yangu,Yupo vizuri kimaisha,Kama mwanaume nilijikuta nikimtamani mana ni mtu na nusu Ila kabla ya kumtongoza nilikuwa Namuuliza kama Ana mume Cuz...
3 Reactions
57 Replies
436 Views
Ni ajabu sana kuona watu walio wamoja kwa makabila na tamaduni leo wanajitafautisha kwa misingi ya mkoloni na kujiona ni watu tofauti kabisa richa ya kua ni watu walewale fikaaa. Ingawa mkoloni...
34 Reactions
179 Replies
5K Views
Wakuu nadhani ni muda wa vyombo vya usalama kuamka na kuchunguza walio nyuma ya Lissu na nia ovu kupitia suala la Muungano. Anachokifanya Lissu kipo kimkakati sana na hadi sasa naona kafanikiwa...
0 Reactions
29 Replies
502 Views
Kila nikitafakari naona wazee wa Kataa ndoa wapo sahihi hasa baada ya kusoma kitabu kiitwacho ' The Manipulated Man by Esther Vilar (1971)' Muandishi wa kitabu hicho ni mwanamke ambaye kwa kifupi...
9 Reactions
91 Replies
2K Views
Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa. Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar. Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni...
12 Reactions
138 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,436
Posts
49,546,643
Members
667,458
Latest member
Popa900
Back
Top Bottom