Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

habari za mei mosi wakuu leo nimefungua simu nikakuta contacts zangu zilizokuwa kwenye email zimepungua kutoka 2000+ paka 12 contacts naomba muongozo wa namna ya kurudisha contacts hizo simu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hali ya umaskini Kwa Wafanyakazi wa Umma Kwa Tanzania ni kubwa sana. Just imagine yaani 60% ya Watumishi wote wa Umma wanalipwa chini ya 500k. Pamoja na kulipwa kiasi hicho kidogo Bado wanakatwa...
5 Reactions
22 Replies
459 Views
Wakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na...
1 Reactions
14 Replies
194 Views
Siku ya wafanyakazi inapaswa kuwa siku ya mijadala serious ya hatima ya uchumi na mipango ya Taifa. Siku ya wafanyakazi ni siku maalumu ya watunga sera duniani kuzipitia na kuzichambua sera za...
10 Reactions
19 Replies
448 Views
Zote ni visiwa katika bahari ya Hindi. Lakini ukivlinganisha, Zanzibar ni maarufu zaidi. Kwa nini imekuwa hivyo? Inaweza kuwa ni kwa vile Zanzibar inanufaika na rasilimali za Tanganyika? Comoro...
2 Reactions
34 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Sina maneno mengi zaidi ya inavyosomeka hapo juu. Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania...
10 Reactions
173 Replies
2K Views
Tazama na sikiliza kwa makini mwanzo mwisho video clip hii fupi ya dakika 16 Tundu Lissu akijibu hoja ya ubaguzi na matundu ya muungano wa Tanganyika & Zanzibar (1964) kwa kutumia katiba mbili za...
12 Reactions
113 Replies
5K Views
Tunafanya delivery kwa Wakazi wa Dar Unalipia ukipokea bidhaa yako Free delivery kwa Wakazi WA Dar(10KM) Tupo kariakoo mtaa wa ndanda na magira
5 Reactions
931 Replies
23K Views
Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date. Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa...
4 Reactions
48 Replies
810 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views

FORUM STATS

Threads
1,850,222
Posts
49,540,384
Members
667,349
Latest member
mwamatenge jay
Back
Top Bottom