Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mabingwa wa nchi Young Africans leo wanashuka dimbani kumenyana na Tabora United katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CRDB Bank Federation cup. Mchezo huu utapigwa katika dimba la chamazi...
14 Reactions
132 Replies
2K Views
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya...
24 Reactions
1K Replies
70K Views
Kuna namna hainipendezi kwenye huu muungano Yani ukiwa mzanzibar una haki zote katika huu muungano ila ukiwa mtanganyika huwez hata kuajiriwa na serikali ya zanzibar wala kwenda kujenga Zenji...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika. Huwa najiuliza...
24 Reactions
285 Replies
4K Views
Nitumie mfano harisi kwenye maisha yangu mwenyewe, Hi ikupe mwanga wewe kuendelea kupigana kwenye hicho unachokifanya. Tangia mdogo nlipenda sana mambo ya ufundi,hasa umeme na electonics...
34 Reactions
59 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habar kisemavyo sina maelezo mengi. Je wana jf waweza jiuliza kwanin unatumia hilo jina hapa jf? Na watu wakilisoma labda watapata ushawishi gani akilini mwao? Sent using Jamii...
2 Reactions
4 Replies
28 Views
Wakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na...
9 Reactions
35 Replies
674 Views
Hivi ndivyo tunavyotakiwa kusema, kwani kuna mtumishi mmoja ametoka kusherehekea Mei Mosi napa Arusha ana huzuni kubwa kwani hakuna hata tarajio Moja lililosemwa kama motisha kwa wafanyakazi...
4 Reactions
18 Replies
354 Views
Kulingana na ripoti hiyo, mhudumu aliyeuawa alisababisha uharibifu kwa vituo vya Wayahudi nchini Ujerumani. Israel ilimlenga na kumuangamiza mfanyakazi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Nipo lodge moja ya Kyauke hapa naona maajabu ya dunia. Kuna zoezi la bomoa bomoa nahisi wanatengeneza barabara. Kuna nyumba baada ya lodge ya Kyauke njia ya kwenda Bonyokwa imeandikwa mita 3.4...
0 Reactions
6 Replies
136 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,259
Posts
49,541,436
Members
667,368
Latest member
slasymagai
Back
Top Bottom