Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mabingwa wa nchi Young Africans leo wanashuka dimbani kumenyana na Tabora United katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CRDB Bank Federation cup. Mchezo huu utapigwa katika dimba la chamazi...
15 Reactions
288 Replies
5K Views
Habari yenu wana JF nipo kwenye mahusiano mwanaume, ambaye hata sielewi anaumwa au ana tatizo gani, nimejitaidi kwa hali lakini bado hapati afadhali. Yaani mkikutana faragha mashine yake...
1 Reactions
14 Replies
42 Views
Wana JF uliza swali lako lolote kuhusu madini, mafuta na gas, kuanzia njisi yanavyojitengeneza ardhini, kufanyiwa utafiti, kuchibwa hadi kuuzwa nawe utajibiwa na mtaalamu wako hapo.
5 Reactions
283 Replies
50K Views
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda...
22 Reactions
103 Replies
2K Views
Ni swali linaloniumiza Kichwa Hapa Arusha. Kila nikiangalia Naona kabisa hakutakuwa na majibu ya Wafanyakazi Nchini zaidi ya Porojo.. Nilidhani Rais atakuja na Kujibu Hoja za wafanyakazi kama...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund, commonly known as Borussia Dortmund [boˈʁʊsi̯aː ˈdɔɐ̯tmʊnt],[2] BVB, Full name Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund Nickname(s) Die...
0 Reactions
109 Replies
2K Views
Habari wakuu Najua JF ni kisiwa cha habari na maarifa pia kumekuwa na nyuzi nyingi ambazo sisi kama member tumekuwa tunazisoma. Basi mkuu ni hivi, wewe kama mwanaJF uzi gani ulikuvutia sana na...
13 Reactions
109 Replies
2K Views
Sijui ni ushamba wangu au ni kutokutembea lakini hizi huduma za kusugua mwili (massage) mbona naona ni wanaume tuu? Kwani wanawake haziwahusu au kuna sehemu yao ni mimi sijafika. Au kuna siri...
3 Reactions
27 Replies
385 Views
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imesema kampuni ya DP World ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeanza kushusha vifaa katika Bandari ya Dar es Salaam kuanza uwekezaji...
14 Reactions
88 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habar kisemavyo sina maelezo mengi. Je wana JF waweza jiuliza kwanini unatumia hilo jina hapa JF? Na watu wakilisoma labda watapata ushawishi gani akilini mwao? Sent using Jamii...
4 Reactions
21 Replies
201 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,285
Posts
49,542,106
Members
667,377
Latest member
kawatega01
Back
Top Bottom