Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu zangu Watanzania, Sina maneno mengi zaidi ya inavyosomeka hapo juu. Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania...
8 Reactions
99 Replies
862 Views
Nimekuwa nasoma na kusikia kuwa wakati Tanzania tunapata uhuru tulikuwa sawa au karibia usawa na China kiuchumi na ndiyo maana walikuwa marafiki zetu, sasa nikawa najiuliza sana walitupitaje...
9 Reactions
33 Replies
496 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
382K Replies
11M Views
Kwa kifupi Nini kimeongezeka Mei Mosi Mwaka huu? Tumeamka na Bei Mpya ya Mafuta, imepanda tena.Changamoto ni zilezile ambazo MAJIBU yake ni kitendawili ambacho mteguaji ameshindwa naye mtegaji...
5 Reactions
8 Replies
129 Views
Nitandika Kwa kifupi najuwa mmu watu hawapendi magazeti. Wazungu unafki huu hawaiwezi, kuishi na mtu eti kisa mna watoto lakini upendo umekufa. Mi ni mtu wa society Kwa utafiti wangu wa miaka...
30 Reactions
317 Replies
7K Views
Wakuu ningependa kujua kuhusu huyu mtu anayejiita Lucas Mwashambwa. Jamaa kawa mwiba mkali sana kwa Ufipa nzima na wapinzani wote wa CCM hapa JF. Ni mtu anayeongoza kwa nyuzi ndefu zaidi...
2 Reactions
16 Replies
184 Views
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile jumapili iliyopita wakati wa ibada katika kanisa lake linalojulikana kama, 'Kikosi kazi cha injili', alimuita mmoja wa waumini wake kijana anayeitwa Eliya na...
6 Reactions
89 Replies
2K Views
Bado naendelea kutafuta mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano ya kimapenzi. Vigezo nahitaji mwanamke msikivu mwenye adabu. Makazi awe anaishi dar Umri kuanzia 20-45 wote nawakaribisha. Umri...
2 Reactions
8 Replies
62 Views
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA" Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka, Jijini Arusha, hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya...
27 Reactions
89 Replies
2K Views
Hivi wanakuwa wanamaanisha kitu gani?
17 Reactions
112 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,096
Posts
49,537,301
Members
667,324
Latest member
evaristy
Back
Top Bottom