Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salaam, Shalom. Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo. Cha kushangaza wanaibuka...
33 Reactions
132 Replies
2K Views
Hii inatokana na kurudia makosa mara kwa maranya kujifunga. Huyo jamaa ni mamluki na ni YANGA lialia
1 Reactions
15 Replies
323 Views
Je, ni sawa kwa Mzanzibari kulalamika kero za muungano, lakini sio sawa kwa Mtanganyika kufanya hivyo? Kwanini Lissu anashambuliwa badala ya kujibiwa? Zanzibar kuna potential gani ya maisha as...
12 Reactions
31 Replies
512 Views
Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date. Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa...
1 Reactions
27 Replies
440 Views
Mwanang wa pekee amefariki masiku machache yaliyopita kwa kinachosadikiwa ni neumonia Toka azaliwe alikuwa na afya njema ila ghafla alipoamka asubh saa 3 akanyonya vizuri kidogo. Ghafla akabanwa...
1 Reactions
15 Replies
137 Views
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA Nimejifunza mambo haya kwenye hili 1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi...
2 Reactions
25 Replies
670 Views
1. Kudhibiti ulimi. Siyo kila hali unaongea kuna wakati unapaswa kukaa kimya 2. Jifunze kutulia ni bora kuliko kufanya drama / kuishi maisha ya mtandaoni. 3.Kubali kuna vitu haujui na umezidiwa...
6 Reactions
7 Replies
700 Views
NAMUNGO vs SIMBA | kabumbu itasakatwa leo saa 12:00 jioni katika Dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi. Jongea kwenye uzi huu, kunyaka kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo. Unadhani nani...
5 Reactions
290 Replies
9K Views
wakuu hali siyo powa, hivi ni kweli humu hakuna mtu anamhitaji mfanyakazi wa kumpa 3000 kwa siku nina Degree ya Accounting and Finance nipo Arusha ila ikiwa hiyo kazi ya 3000 ipo Arusha itapendeza...
6 Reactions
27 Replies
448 Views
Hivi🤔 mapenz ya kuwa mbali na mtu yanadumu kweli🤷. Au ndo inahitajika ushirikiano hasa uaminifu kwa kutochepuka mapenzi nisaidie jamani
1 Reactions
8 Replies
123 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,989
Posts
49,534,500
Members
667,303
Latest member
kitenge ahmad ally
Back
Top Bottom