Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

KILA MTU MUWEKEE UKOMO WA KUKUFAHAMU. 1. Kuna watu waishie kujua majina yako tu. 2. Kuna watu ruhusu wafahamu zaidi ya majina yako. 3. Kuna watu zuia kabisa wasijue chochote kuhusu familia...
13 Reactions
26 Replies
636 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha. Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa...
27 Reactions
98 Replies
2K Views
Wakati sherehe za ubingwa WA bonanza wa MUUNGANO zinaendelea faham kwamba Simba siyo Tena Klabu ya Tano Africa wako NAFASI ya saba, baada ya Zamalek na Rs Berkane kufuzu fainali wanakuwa juu ya...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Kila mwanaume asimame alipo dakika moja kuwapongeza wale mademu ambao huja kwa juu bila kuambiwa Wale mademu ambao kwenye pochi hubeba chupi ya kubadirisha wepewe laki moja na savannah 3 Wale...
119 Reactions
1K Replies
125K Views
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Tanzania, Nape Nnauye amelaani vikali kauli iliyotolewa na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu madai ya Rais Samia kuwaondoa...
10 Reactions
89 Replies
3K Views
Wanaukumbi. Iran inaadhimisha Siku ya Jeshi la Kitaifa kwa gwaride kubwa la kijeshi, kuonyesha utayari vita kamili na ulinzi wa nchi na mafanikio ya hivi karibuni katika sekta hii. Kumbuka Iran...
6 Reactions
57 Replies
2K Views
Habari wadau! Kuna jambo hili linalalamikiwa Sana na Serikali ya Kenya kila kukicha Mama kaweka pamba masikioni Kuna uwindaji wa Tembo wakutisha unafanyika Endulen (Kwa wasiojua Endulen Ni pori...
1 Reactions
4 Replies
180 Views
"...uwe na uwezo wa kuwaambia jamaa zako na marafiki zako, Ikulu ni mahali patakatifu, Mimi sikuchaguliwa na wananchi wa Watanzania kuja kupageuza kuwa pango la walanguzi.."
2 Reactions
13 Replies
270 Views
- Unamsikia mtu anasema "yani mimi ikipita siku sijapata walau savanna moja mwili unakuwa mzito HADI nipate japo kidogo moja aisee ndo nakuwa sawa". - Au mwingine unamsikia akisema "yani mimi...
0 Reactions
4 Replies
17 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,719
Posts
49,525,948
Members
667,215
Latest member
mrisho salum
Back
Top Bottom