Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Mwamba wa siasa za kisasa, Freeman Mbowe, leo anaongoza Maandamano ya Amani ya kupinga ugumu wa maisha na sheria mbovu za uchaguzi Mjini Tanga Usiondoke JF...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
1. Vyuo vikuu au taasisi za elimu ya juu ni sehemu nyeti Kwa usalama wa taifa kama ilivyo Kwa jeshi. 2. Ni ukweli usiofichika kuwa bongo bora kabisa katika nchi katika kizazi husika hupatikana...
1 Reactions
3 Replies
60 Views
Wakati Chadema wanatangaza kuandamana Nchi nzima, kupinga Ugumu wa Maisha, Kikokotoo na Sheria mbovu na za kijinga za Uchaguzi, wako wale wenye Ubongo mfupi waliobeza na kutamka kila neno baya...
9 Reactions
56 Replies
651 Views
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha. Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa...
26 Reactions
74 Replies
2K Views
Wakuu hii ikoje, Si WhatsApp si twitter kila siku lazima nione vijana timamu kabisa kupotea wengine wanafunzi wengine wafanyabiashara. Au mimi ndiyo naweweseka
1 Reactions
8 Replies
175 Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
148 Reactions
12K Replies
4M Views
Kwanza nipende kutoa shukrani kutokana na maboresho yaliyofanywa na mwekezaji katika kuboresha soko la ccm ,Katoro Geita ,Changamoto kubwa iliyoibuka baada ya Mwekezaji kushika hili soko ni...
0 Reactions
2 Replies
49 Views
Mpango mkuu wa Waislamu wenye itikadi ya kuinua Khilafa (yaani utawala wa Kislamu) Mpango huu una mafiga makuu matatu ambayo ni; 1) Kuitwaa Makka 2) Kuitwaa Yerusalemu 3) Kuitwaa Kostantinopo...
16 Reactions
61 Replies
2K Views
Muungano ulioasisiwa na Karume na Nyerere ni tofauti sana na muungano tunaouona leo. Maana baada ya muda tayari tunawaza uwepo wa Tanganyika baada ya kuona uwepo wa Zanzibar. Wakati awali Karume...
0 Reactions
0 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,717
Posts
49,525,864
Members
667,217
Latest member
mrisho salum
Back
Top Bottom