Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari za majukumu wakuu, Nilikuwa natumia watsapp mods (Fouad mods), lakini ghafla ilianza kuwa na version nyingi nikaamua kuhamia watsapp official kuanzia majuzi, nilifuta Fouad mods...
0 Reactions
18 Replies
97 Views
Hakuna mabadiliko yoyote ya team kwenye performance kuonesha yeye ni kocha mkubwa, hakuna mbinu yoyote aliyoiongeza kwenye kikosi alichokikuta, Upangaji wake wa kikosi ni wa hovyo amekalili...
1 Reactions
1 Replies
4 Views
Pacoume ni moja kati ya mchezaji pendwa katika kikosi cha Yanga SC, siyo pendwa kwa kocha bali hata kwa mashabiki kutokana na kipaji chake cha kusakata kabumbu . Cha kushangaza kumetokea...
1 Reactions
45 Replies
425 Views
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku. Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya...
1 Reactions
42 Replies
2K Views
Habari za Wakati huu. Hivi inakuwaje Nyaraka zetu kama barua, mitihani, vyeti, nk zinatumika kufungia mandazi, vitumbua, mchicha, nk Leo nimenunua chapati nje ya chuo cha MUHAS na kifungiwa...
1 Reactions
1 Replies
18 Views
Kwenye korido za makao makuu ya CCM Dodomana Lumumba,kuna tetesi kuwa kamati ya maadili imemuonya Makonda aache koropoka . Hiko hivi,watu wengi hawakuwawakijua kuwa mama yetu anatukanwa huko...
7 Reactions
38 Replies
793 Views
Wakuu habari, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 sasa, niko chuo X. Naomba niende straight kwenye point wakuu maana nahitaji msaada wa haraka sana. Nimetokea kumpenda binti flani ambaye niko...
5 Reactions
132 Replies
1K Views
Katika mambo ambayo yamekuwa yakieleweka vibaya, kukanganya na pia kuzua dhihaka kutoka kwa watu wasioipenda Israel ni pamoja na hili la kupewa misaada wa jeshi/ silaha na Marekani pamoja na kuwa...
2 Reactions
29 Replies
423 Views
Habari wadau? Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika...
6 Reactions
53 Replies
850 Views
Mtoto wa mjini kipaumbele Cha kwanza kuvaa. Huwezi kuwa mtoto wa mjini unaendekeza kula kuliko kuwa nadhifu ,unafeli mchana kweupe.
1 Reactions
3 Replies
4 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,174
Posts
49,510,599
Members
666,991
Latest member
swel
Back
Top Bottom