Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka. Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji...
1 Reactions
46 Replies
227 Views
Wakuu nataka nikapumzike Cape Town kama siku 3 hivi. Ndege gani nitapata ticket cheap? Nimechek Rwandair, Ethiopian na Kenya Airways Direct flight to CPT ni maumivu matupu.
0 Reactions
7 Replies
59 Views
Kwa misimu kadhaa sasa timu ya simba imekuwa na utaratibu wa kufukuza makocha tena ndani ya muda mfupi Sana. Jambo ambalo linazuwa maswali tatanishi mengi. 1.Je wanaohusika kufukuza na kuajiri...
0 Reactions
1 Replies
40 Views
Kumekuwa na picha zinazoenea kwenye mitandao zikimuonyesha rais samia akiwa katika ibada kanisani,sina uhakika ikiwa ni ibada ya pasaka au otherwise lakini kinachoonekana ni kwamba amekwenda na...
7 Reactions
70 Replies
1K Views
pisi kali
1 Reactions
3 Replies
40 Views
Dunia ya leo watu wengi hufanya utalii wa ndani au wa nje ya nchi zao si kwa ajili ya vivutio vya asili vya mazingira na majengo tu bali kwa ajili ya kufurahia utalii wa vyakula vya asili na...
18 Reactions
2K Replies
41K Views
Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba Hajui kutumia...
0 Reactions
6 Replies
45 Views
Watumishi wa umma wengi sasa hivi wanafuatilia issue ya kikokotoo cha mafao yao ya baadaye. Hata hivyo wapo watumishi wa umma ambao wapo kimya kuhusu kikokotoo labda kwa kuwa miaka yao ya...
15 Reactions
234 Replies
3K Views
Hivi vile vitambulisho vya wauza madafu (wajasiriamali) viliishiaga wapi? eti TSH 20,000/=?
1 Reactions
3 Replies
45 Views
Habar wadau? Napenda kufuga nguruwe ila sina uzoez wowte ndo nataka niingie ktk game! Mwenye experience anisaidia , mbegu bora banda bora
2 Reactions
11 Replies
586 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,375
Posts
49,517,289
Members
667,093
Latest member
Kevin bravo
Back
Top Bottom