Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nipo Dar es Salaam, na kuna mvua + Mafuriko ila nafuatilia yanayoendelea uko China kwenye Beijing Auto Show ya mwaka 2024, ilioanza tar 25 April hadi 4 May. Hii Beijing Auto Show kwa jina jingine...
27 Reactions
182 Replies
2K Views
Wazima jamani! Hivi hili suala la kuchukiana bila sababu ni kwa wanawake tu ama na Nyie wanaume mnakutana nalo? Unaenda sehemu ukiwasili tu kama wewe ndo jini mkata kamba! Ni kwamba Chuki za...
0 Reactions
10 Replies
68 Views
Shunie Extrovert Jimena FRANC THE GREAT The 13 Mnazareth Daudi Mchambuzi Dinazarde Carleen Wangari Maathai Mshana Jr
24 Reactions
5K Replies
119K Views
Natumaini wote mko poa ndg wana JF,, lakini poleni sana kwale wote wenye changamoto yoyote ya kiafya au maisha kwa ujumla poleni sana Mungu awasaidie mkae sawa 🙏 Ndg zangu nimeamua kuandika uzi...
17 Reactions
69 Replies
1K Views
Tatizo kubwa linaloikabili Ukraine kwa sasa ni kukosekana kwa nguvu kazi ya kuendeleza vita. Hilo linafuatiwa na upungufu mkubwa wa silaha. Pamoja na kuzuiwa watu wenye umri wa miaka 18-60 kutoka...
5 Reactions
14 Replies
418 Views
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imeeleza kuwa ina mpango wa kusimika Kinu cha Utafiti cha Nyuklia (Nuclear Research Reactor) kwa ajili ya utafiti, kufundishia na kuweka mazingira ya kuwa na...
0 Reactions
4 Replies
112 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika. Huwa najiuliza...
11 Reactions
127 Replies
863 Views
Miaka ya hivi karibu jamii ya Wakinga ni kama imeamua kuwa serious kupambana na umaskini. Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki. Unfortunately maneno yamenza mara...
17 Reactions
101 Replies
2K Views
Baada ya malalamiko mengi ya wahitimu wa kozi ya udereva wa PSV, tangu mwezi 1 veta walikuj na hii taarifa Katie picha chakushangaza , watu wamefik makao makuu veta Chang'ombe taarifa walizotoa...
0 Reactions
1 Replies
37 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,491
Posts
49,520,966
Members
667,131
Latest member
niite_carlos
Back
Top Bottom