Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

1. Hawa ndiyo wale vigogo wachache wa aina ya South Africa huko: 2. Kwamba Natenyahu ni kama yale mapanya road yale ya pande za kwetu tu? 3. Ana sifa gani, wapi, kiumbe huyu kwenye ulimwengu...
4 Reactions
20 Replies
375 Views
Huyo mzungu ndiyo Dorotia mwenyewe, Kama uliwahi kusikia Ngoma ya Dorotia toka Kwa Jose Chameleon.Alikua Mpenzi wa Jose na walizaa mtoto mmoja aitwaye Ayla Mayanja Dr. Jose Chameleon aliivuruga...
9 Reactions
25 Replies
541 Views
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu ameingua Mjini Arusha tayari kuongoza Maandamano yatakayoanzia Manyara Lissu ameingilia mpakani Namanga Mlale Unono 😀😀😀😀
3 Reactions
29 Replies
961 Views
Wadau poleni sana na mihangaiko ya j'mos. Kuna hili la kuandika matusi na maneno ya kejeli kwenye vyoo vya kulipia, unakuta ukutani pale pameandikwa matusi makubwa na maneno ya kejeli, kiukweli...
0 Reactions
2 Replies
10 Views
Wakubwa habari za mida tena, nahitaji ku jenga Gaming PC, kwa kutumia parts kutoka AliExpress. Mimi sina uzoefu na kazi hii na sijawai kufanya jambo hili nataka, kwanzia mwezi wa 12, nianze...
5 Reactions
44 Replies
713 Views
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa. Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki. Wapo...
50 Reactions
491 Replies
23K Views
Marekani yasema kuwa imekubaliana na Ukraine kuondoka vifaru vyake vya Abram kwenye uwanja wa vita na Urusi huko Ukraine. Uamuzi huo wa kuondoka vifaru hivyo vinavyodaiwa kuwa ni namba moja kwa...
6 Reactions
7 Replies
547 Views
Wakuu, Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea...
3 Reactions
94 Replies
2K Views
Wawili hao wamewekwa mahabusu kwa masaa zaidi ya 40 kwa kosa linalodaiwa kuwa Uchochezi na kuzua Taharuki . Walikamatwa na Jeshi la Polisi kwa amri ya RPC Muliro ambaye ndiye mlalamikaji Mkuu ...
8 Reactions
41 Replies
708 Views
Salaam, Shalom!! Mamlaka ya Hali ya hewa nchini (TMA) ,imetoa Tahadhari Kwa wakazi na wavuvi wa mikoa ya pwani, Dar es Salaam na Zanzibar,juu ya uwezekano wa Kutokea upepo mkali utakaoambatana na...
3 Reactions
18 Replies
940 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,044
Posts
49,505,326
Members
666,941
Latest member
Ayubu popati
Back
Top Bottom