Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Poll
Jf amani iwe nanyi. Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oct 2030, 77% ya wapigakura wote watakuwa ni Vijana wa 2000s` Mrithi sahihi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya CCM lazima awe ni mgombea...
4 Reactions
193 Replies
4K Views
1. Hawa ndiyo wale vigogo wachache wa aina ya South Africa huko: 2. Kwamba Natenyahu ni kama yale mapanya road yale ya pande za kwetu tu? 3. Ana sifa gani, wapi, kiumbe huyu kwenye ulimwengu...
8 Reactions
32 Replies
594 Views
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo. Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu...
53 Reactions
141 Replies
4K Views
CHATANDA AONGOZA KIKAO KAZI 📍 Lumumba - Dar es Salaam 🗓️27 Aprili, 2024 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda(MCC) ameongoza kikao cha tathmini ya Mdahalo wa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kusema ule ukweli kabisa toka nimpe moyo dada mmoja akauvunja basi nahisi kabisa kuwa nimepata ulemavu wa kupenda tena. Ni miaka mitatu sasa nimekosa hisia za kupenda na wala sioni dalili za...
2 Reactions
20 Replies
141 Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
136K Replies
9M Views
Hili limekua tatizo kubwa sana kwa simu za kitochi 4G ukiitumia baada ya muda Fulani Kanaganda yaani ukiiwasha haiwaki inaishia hapo tu kwenye "karibu tigo". Je, unaweza kutumia mbinu gani...
6 Reactions
42 Replies
4K Views
MCC MAMUYA AONGOZA KIKAO KAZI CHA KAMATI YA UCHUMI YA UWT TAIFA 📍 Lumumba - Dar es Salaam 🗓️27 Aprili, 2024 Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi (UWT) Ndg. Halima Mamuya (MCC) ameongoza kikao cha...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
Habari wanajamvi, Mimi nikiwa km mdau wa kupiga vyombo ningependa niwawakilishe wala masanga wenzangu tunaopenda kuhudhuria kwenye hizi Baa na Lounge kupata moja mbili Bariiiiiiiidi. Naona...
0 Reactions
35 Replies
618 Views
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
34 Reactions
118 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,122
Posts
49,508,785
Members
666,981
Latest member
nyamwitanga
Back
Top Bottom