Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naitwa cecylia ni Agent nafanya clearing ya magari na container kwa bei nzuri bandarini.. Nafanya importation, exportation na pia nauza magari used na chassis no. Nauza magari ya mnada...
1 Reactions
6 Replies
51 Views
Nahitaji simu ya kawaida kabisa bajeti yangu laki na 30. Kikubwa iwe ina uwezo wa kutoa audio inayo sikika vizuri. Iwe Type C ambayo inaweza kutumia vile vi microphone vya sh elfu 25. Nakumbuka...
0 Reactions
14 Replies
39 Views
Watu wengi hudha kuwa kuoga ni takwa la kiafya kumbe sio kweli kuoga kuna madhara mengi kuliko kutokuoga Utafiti uliofanywa na wanasayansi umethibitisha kuoga mara kwa mara huleta madhara kiafya...
4 Reactions
51 Replies
869 Views
Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata. Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA" Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka,Jijini Arusha,hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya...
12 Reactions
42 Replies
512 Views
Habari wana Jf wenzangu Nimeokota mahala sasa sijui ni nini wanaojua msaada tujuzane
9 Reactions
109 Replies
2K Views
1. Kraven the Hunter 2. Deadpool 3 3. Gladiator 2 4. The Lord of the Rings: The War of the Rohirrim 5. Godzilla x Kong: The New Empire 6. Dune: Part Two 7. Madame Web 8.Joker: Folie à Deux 9...
0 Reactions
6 Replies
809 Views
Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players. Imepigwa ndani nje Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10 Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni...
26 Reactions
148 Replies
3K Views
Muuza madafu amehojiwa na Ayo Tv na kusema yeye Siyo yule Komandoo ila ni Kweli wanafanana Muuza madafu amesema yeye anacheza kareti na boxing na anatamani sana kujiunga na mambo ya Ulinzi kama...
19 Reactions
136 Replies
5K Views
Eti wakuu? Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya? Tusemezane
2 Reactions
22 Replies
284 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,344
Posts
49,516,792
Members
667,075
Latest member
Tabakha
Back
Top Bottom