Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tanzania ni nchi tajiri katika rasilimali asili, ikiwa na madini mengi ambayo yanaweza kuleta utajiri mkubwa kwa taifa na wananchi wake. Hata hivyo, hadithi ya utajiri wa madini nchini imekuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwa mara nyingine siasa zimeingilia hii game tutaona kama ni team zitafungiwa au ni nchi zitafungiwa jumla Au wataogopwa vile ni waarabu maana ingekuwa nchi kama tz Motsepe na genge lake...
3 Reactions
7 Replies
422 Views
Habari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka. Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji...
2 Reactions
75 Replies
575 Views
Sioni sababu ya kupoteza muda kuulizana ulizana hali, kila mtu apambane na hali yake, moya kwa moya kwenye mada. Toka balehe mshawasha wa kufanya mapenzi huwa mkubwa sana. Tuna fikiria vitu...
63 Reactions
6K Replies
739K Views
Mwaka 1991 wakati USSR inavunjika mataifa kadhaa yaliyokuwa yanaunda umoja huo yalikuwa yanamiliki silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu. Ukraine lilikuwa ni taifa mojawapo lililokuwa...
15 Reactions
107 Replies
3K Views
Watumishi wa umma wengi sasa hivi wanafuatilia issue ya kikokotoo cha mafao yao ya baadaye. Hata hivyo wapo watumishi wa umma ambao wapo kimya kuhusu kikokotoo labda kwa kuwa miaka yao ya...
16 Reactions
239 Replies
4K Views
Benchikha ni mtu flani anayekasirika haraka na asiyeweza kubeba maumivu, kejeli, dhihaka moyoni mwake. Ni mtu fulani asiyemvumilivu na mpenda mafanikio kwelikweli, ni wachache tumeweza kumsoma...
15 Reactions
47 Replies
2K Views
Hapa kuna orodha ya sura na mistari katika Biblia inayozungumzia au kutaja uwepo wa taifa la Israeli: 1. Mwanzo 12:1-3 - Ahadi kwa Ibrahimu kuhusu taifa la Israeli. 2. Kutoka 3:7-10 - Mungu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari yenu ndugu zangu, naombeni msaada wenu kuipata hii hela nikaitoa au kwa mtu yeye aliyewahi kucheza kwa kununua vitu halafu wanakupa commission kwa ile pesa uliyotoa. Commission yao inaanzia...
8 Reactions
76 Replies
2K Views
So when I grew up, especially in school life, I had zero confidence with women. Partly due to my moral upbringing( i guess ) but also I lacked experience. We were mostly supposed to stay at home...
3 Reactions
20 Replies
233 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,408
Posts
49,518,572
Members
667,103
Latest member
nicolaus9991
Back
Top Bottom