Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu habari za weekend Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye...
1 Reactions
39 Replies
167 Views
Huu ni mkasa unaoenda mwanzo mpaka mwisho wake. Enjoy. Leon ana talanta ya kupiga picha lakini bado haijamlipa kama vile yeye anavyotamani. Anaamini anastahili kupata zaidi na zaidi na jambo...
4 Reactions
14 Replies
229 Views
Hivi kama Mwenyekiti CCM Taifa na Rais wa JMT Samia angesikia Ushauri wa Watu makini tena hadi wale waliompelekea dossiers za Paul Christian Makonda na kumtaka asimtumie kokote kwani ni Mtu...
3 Reactions
14 Replies
225 Views
Mchezo wa lawama "blame game" ni kama mzunguko wa umasikini "vicious cycle of poverty" Mtoto anamlaumu Baba, Baba anamlaumu Babu, Babu anawalaumu Wahenga, Wahenga wanailaumu Mizimu n.k...
1 Reactions
6 Replies
50 Views
habali zenu wapendwa pasipo kupoteza mda nahtaji nimiliki siraha kihalali na niitumie ktk shughuri zangu za halali za kujiingizia kipato tafadhari sana wapendwa naombeni mnipe mbinu nianzie wapi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari wakuu... Hivi hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original... Mfano kuna jamaa anauza creed aventus mils 100 kwa 55k... Kuna aliyewahi tumia? Ubora upoje?
2 Reactions
127 Replies
3K Views
  • Sticky
Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki. Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii...
148 Reactions
1K Replies
278K Views
Nitafuahi nikijibiwa manake kuna mwaka nilienda na Mtu mmoja niliyekuwa namheshimu sana huko Bandarini na hakika kwa jinsi wala Wafanyakazi walivyokuwa Wakitukana huku wakiendelea vyema tu na Kazi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwenye korido za makao makuu ya CCM Dodomana Lumumba,kuna tetesi kuwa kamati ya maadili imemuonya Makonda aache koropoka . Hiko hivi,watu wengi hawakuwawakijua kuwa mama yetu anatukanwa huko...
7 Reactions
70 Replies
1K Views
Wewe ni tajiri au masikini?? Tuwekee picha tuone maana mmezidi kujitapa nyie matajri
1 Reactions
4 Replies
18 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,193
Posts
49,511,173
Members
667,003
Latest member
JustinDrude
Back
Top Bottom