Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwenye korido za makao makuu ya CCM Dodomana Lumumba,kuna tetesi kuwa kamati ya maadili imemuonya Makonda aache koropoka . Hiko hivi,watu wengi hawakuwawakijua kuwa mama yetu anatukanwa huko...
1 Reactions
5 Replies
12 Views
Hivi kweli Currently hakuna Nchi ya kuitwa Tanganyika? Wajuzi wa Mambo naomba mtuambie hii imekaaje..... Natanguliza shukrani
1 Reactions
22 Replies
275 Views
Wakuu habari, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 sasa, niko chuo X. Naomba niende straight kwenye point wakuu maana nahitaji msaada wa haraka sana. Nimetokea kumpenda binti flani ambaye niko...
1 Reactions
90 Replies
527 Views
Wanajukwaa mzuka mwingi. Naomba kujua ni kwanini watumishi wa umma katika nchi yetu hawako kuwatumikia wananchi,. Badala yake wananchi ndiyo wanawatumikia viongozi na hata wakiletewa maendeleo (...
0 Reactions
1 Replies
19 Views
Watumishi wa umma wengi sasa hivi wanafuatilia issue ya kikokotoo cha mafao yao ya baadaye. Hata hivyo wapo watumishi wa umma ambao wapo kimya kuhusu kikokotoo labda kwa kuwa miaka yao ya...
11 Reactions
186 Replies
2K Views
Kwa miezi 3 mfululizo sasa DAWASA wamekuwa wakinitumia bili ya maji yenye kiasi kile kile hakibadiliki, FEBRUARY wametuma bili, MARCH wakatuma kiasi kile kile mpaka senti, na hii ya APRIL wametuma...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Salaaam Wachumi Rejea mada hapo juu Je upi ni uwekezaji ulio bora endapo katika harakat zako za utafutaji ukajaaliwa umeishika 30Mil cash Na option ukawa umeweka ni hizo mbili kati ya kuwekeza...
9 Reactions
82 Replies
6K Views
Kwenye korido za makao makuu ya CCM Dodomana Lumumba,kuna tetesi kuwa kamati ya maadili imemuonya Makonda aache koropoka . Hiko hivi,watu wengi hawakuwawakijua kuwa mama yetu anatukanwa huko...
0 Reactions
6 Replies
61 Views
Mimi sio mchoyo nawasanua vijana. Haijarishi unaanzisha genge, duka la mangi, banda la chipsi, kuuza mitumba, hata iwe kuuza pipi n.k hakikisha unatafuta kwanza kinasa wateja . Mambo ya customer...
1 Reactions
5 Replies
28 Views
Habari za muda huu wapendwa. Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde. Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako. Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka...
31 Reactions
114 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,148
Posts
49,509,756
Members
666,994
Latest member
Abdallah sadun
Back
Top Bottom