Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni Joe Kusaga tena… Waswahili husema mwenye nacho huongezewa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezewa. Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikitika zaidi kwenye tasnia ya...
6 Reactions
36 Replies
177 Views
Breaking: Benchika ameachana rasmi na Simba SC baada ya makubaliano ya pande zote mbili. Credit by crown media #CrownSports
0 Reactions
17 Replies
168 Views
Ni Katika sherehe za miaka 60 ya Muungano Ngoja nifanye Mpango wa kuweka picha husika kutoka kwa Liberatus ukurasani X Mlale Unono 😄😄
6 Reactions
41 Replies
2K Views
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo. Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu...
57 Reactions
159 Replies
4K Views
Salamu Wakuu, Nimegundua Suala la uaminifu bado ni changamoto kubwa sana hapa nchini Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kupatiwa fedha pungufu kila wakichukua hela kupitia kwa...
8 Reactions
109 Replies
3K Views
Wakuu habari za weekend Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye...
3 Reactions
80 Replies
395 Views
NALIA NGWENA niliwahi kuandika humu kuhusu janja janja na upigaji unaotengenezwa na viongozi wa Simba sc kuhusu kumuajili MTU wa scouting ambaye kiuhalisia hakuwa na kazi yoyote Bali akiwekwa Kama...
2 Reactions
14 Replies
865 Views
Askari polisi wa Tanzania wamekuwa chanzo cha maumivu ya watu na familia nyingi sana hapo bongo , ni ajabu iliyoje kuona chombo cha dola ambacho ndio kilipaswa kuwa mstari wa mbele kulinda raia na...
100 Reactions
354 Replies
19K Views
Mchezo wa lawama "blame game" ni kama mzunguko wa umasikini "vicious cycle of poverty" Mtoto anamlaumu Baba, Baba anamlaumu Babu, Babu anawalaumu Wahenga, Wahenga wanailaumu Mizimu n.k...
1 Reactions
7 Replies
61 Views
Habari wakuu... Hivi hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original... Mfano kuna jamaa anauza creed aventus mils 100 kwa 55k... Kuna aliyewahi tumia? Ubora upoje?
2 Reactions
129 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,205
Posts
49,511,609
Members
667,003
Latest member
JustinDrude
Back
Top Bottom