Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naomba kuuliza juu ya Tangazo hili kama ni la kweli, maana linasambaa sana. [emoji120]
10 Reactions
213 Replies
9K Views
Swali #1. Kati ya Mwanamke na Mwanaume nani ambaye husikia Utamu zaidi ya Mwenzake wakati wa Mbanduano Kitandani? Swali #2. Kati ya Yai na Kuku kipi kilitangulia Kuja / Kujitokeza? Nimeambiwa...
1 Reactions
7 Replies
8 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
511K Replies
29M Views
Zanzibar imekuwepo kitambo Sana na bado ipo lakini Tanganyika kama Tanganyika hatunayo kwa miaka 60 sasa ambao ni Umri wa kustaafu kwa lazima Kusema Zanzibar ni koloni la Tanganyika ni...
0 Reactions
1 Replies
25 Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
136K Replies
9M Views
TP Mazembe wakiwa Ugenini wamejikuta wakipokea Kipigo Cha Magoli matatu Kwa bila dhidi ya Al ahly na kutolewa hatua ya nusu Fainali Ya michuano ya klabu Bingwa barani Afrika. Katika mchezo Wa...
1 Reactions
9 Replies
392 Views
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo. Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu...
27 Reactions
105 Replies
2K Views
Nafasi ya Polisi katika nchi, tofauti na wengi wanavyoamini, ni muhimu sana kwa ustawi wa nchi. Kwa hapa kwetu nchini, kwa muda mrefu, imejengeka imani kuwa watu wenye uwezo mdogo wa kimasomo...
7 Reactions
25 Replies
530 Views
Bodi, Hiki kizazi chetu cha kiume kwa sasa kina shida sana. Why? 1. Kizazi kivivu kinachoamini katika mserereko kuliko kufanya kazi na mazoezi 2. Kizazi hiki kinaweza kuwa ndio kizazi...
1 Reactions
19 Replies
78 Views
Wataalam wa tech naomba elimu yenu kuhusu maeneo hayo Apps na Websites. Ukitaka kutengeneza apps unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani fupi? Hivyo hivyo kwa website unapaswa kupitia hatua...
0 Reactions
7 Replies
41 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,969
Posts
49,502,283
Members
666,900
Latest member
Unyade wade
Back
Top Bottom