Miaka ya hivi karibu I jamii ya wakinga ni kama imeamua kua serious kupambana na umaskini.
Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki
Unfortunately maneno yamenza mara...
Mwaka 1991 wakati USSR inavunjika mataifa kadhaa yaliyokuwa yanaunda umoja huo yalikuwa yanamiliki silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu. Ukraine lilikuwa ni taifa mojawapo lililokuwa...
Habari wakuu,
Niwatakie heri ya sikukuu za Muungano, Leo katika hutuba ya Rais nimeskia amepongeza kuona mwanamke akiwa katika kikundi cha Bendera. Ifahamike kikundi hiki hakijawahi kuwa na...
Mimi ningeteuliwa kuwa kamanda wa kikosi cha zimamoto na uokoaji, jambo la kwanza ningeomba kibali cha kuunda vikosi maalum hata vinne, kwa ajili ya zimamoto na uokoaji wakati nchi inasubiri kuwa...
Salaam, Shalom!!
Nimefuatilia Kwa ukaribu jinsi waziri Jerry Slaa anavyofanya katika utatuzi wa migogoro ya ardhi, japo Bado ni mapema sana kusema kuwa anafanya vizuri, lakini Kwa sasa itoshe...
Habari.
Africa tumekuwa kwenye kiza kisichojulikana kwa miongo kadhaa,wachongaji wengi utasikia wakisema msiabudu mizimu ya mababu zenu,mara mizimu inaleta nuksi,mara watu wamefungwa na mizimu ya...
Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Utangulizi
Mimi ni raia wa Tanzania, Mkristo kwa imani. Lakini nasikitishwa na kile kinachoendelea katika huduma ya Nabii wa Uongo...
Kabla ya Ujenzi wa hekalu La Suleiman, Mambo yafatayo yanatangulia kwanza
1) Kutoa sadaka ya ng'ombe mwekundu.
2) Hii sadaka ni kwa ajili ya kutakasa eneo la Ujenzi wa hekalu.
3) Tayari wa Israel...
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.