Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Majuzi tulipokea utambulisho wa mtoto wa kaka, kaleta kijana huyo kila mtu alichokaaaaa Mtoto wa kaka nae ndio wale matajiri waliosomaga ulaya kuanzia sekondari mpaka chuo, ungetegemea alete...
3 Reactions
12 Replies
174 Views
  • Article
Habari, Ninanukuu kutoka kwenye meseji iiyotummwa kwenye kundi moja la Telegram ambalo mimi pia nimo. Huku mitaani kuna taarifa kuwa kuwa uvunaji wa damu unaifanyika maeneo mbalimbali nchi huwa...
0 Reactions
1 Replies
99 Views
Daraja la Mabatini Mwanza. Jamaa kajirusha. Inasemekana jamaa alikuwa akimsomesha mchumba wake Mwanza. Sasa aliamua kuja kumtembelea akakuta hakuna cha chuo bali kakuta kumbe binti keshaolewa na...
7 Reactions
93 Replies
2K Views
memba unampa makavu laivu anaenda kukuripoti Kwa mods kwakupeleka ushahidi watusi ulilotukana unapigwa ban unaona fleshi kweli nimekosea ban ikiisha unafunguliwa unaendelea namijadala kistaarabu...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Eti ni maziwa gani yanakupa ladha murua kati ya haya mawili?
1 Reactions
10 Replies
100 Views
Hii ni hadi lini? Mwenzenu naona umri unasonga tu lakini beki hazikabi, yaani jitihada bado hazizai matunda kila nikijaribu kujizuia. Je, ni uvumbuzi wa Tanzania pekee au hadi kwa wenzetu?
3 Reactions
24 Replies
192 Views
Hizi ndizo taarifa ambazo zinasikika kwenye mikutano yao kama ambavyo wahenga walisema hakuna siri ya watu wawili. Na hawa imekuwa ni ya watu 19. Wanaambiana mengi na wengine wanakuja kutuambia...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
514K Replies
29M Views
Hiki ndo kizazi bora na ambacho kipo logically . Ndo waasisi Wa kataa ndoa crew Wanzaa kwa mpango Wapo logically Wapo na mental well being. Be blessed , Golden generation.
11 Reactions
57 Replies
677 Views
========= Africa is buzzing with lively economies, all thanks to the hard graft of its people. The continent has even been dubbed the world's future workplace due to its ballooning young...
0 Reactions
13 Replies
305 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,978
Posts
49,590,888
Back
Top Bottom