Bilionea William Mungai, Mfanyabiashara mwenye mafanikio kutoka Mafinga, amechukua fomu ya kugombea tena Uenyekiti wa Chadema Mkoa wa Iringa.
Ameomba tena Uongozi huo ili amalizie kazi yake ya...
Binafsi nilioa nikiwa na 28 mke wangu muda huo akiwa na 18, Kwa sasa naenda 36 mwenzangu yupo 26
kumekuwa na pattern kubwa ya vijana kutafutana waoane kwa kigezo cha kukaribiana ama kulingana...
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.
Huwa najiuliza...
Nilikuwa nasoma Uzi wa furtunatus boyombe kuhusu idadi kubwa ya wahamiaji ,haramu ambao wako serekaliNi kwa idad kubwa wote Wana akili kubwa kubwa mno
Mfno wengi unaawakuta wako BOT
UDSM
SUA...
Tanzania imeshika nafasi ya kwanza katika nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya habari, Afrika Mashariki.
Nchi hiyo imepanda kutoka nafasi ya 143 kwa mwaka 2023 hadi 97 mwaka huu, kulingana na...
Wengi ni weupe sana kwenye hizi newz.
Nilikuwa naongea na mmoja hana hata habari ya uwepo wa kimbunga hidaya.
Ukikuta wenyewe wametulia wanaangalia TV hapo lazima kuna; tamthilia, bongo muvi...
Habarini
Case in point ni huyu blord wa Nigeria, huenda wengi humu hamumfahamu, huyu kijana ana miaka 26 tu ni ceo wa kampuni yake ya jetpay kule Nigeria, lifestyle analoishi si mchezo, yani...
Rais wa Yanga atangaza atakavyo watambulisha Chama na Kibu
Rais wa Yanga amesema watamtambulisha mchezaji mpya ambapo kwa taarifa za ndani ni kati ya Kibu au Chama kabla ya msimu huu kutamatika...
Inaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.