Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mabingwa wa nchi Young Africans leo wanashuka dimbani kumenyana na Tabora United katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CRDB Bank Federation cup. Mchezo huu utapigwa katika dimba la chamazi...
14 Reactions
107 Replies
2K Views
Haya maboreho kwenye hii app ya jamiiforums.com kwangu naona ni kero sana kuitumia. Kwanini hawa kubaki na muonekano ule ule wa zamani ulikuwa unampa mtu urahisi wa kutumia. Hii ya sasa hakuna...
1 Reactions
2 Replies
78 Views
Habari wanajamvi.. Nimejaribu kutembelea miji, manispaa, na majiji mbalimbali kwakweli kuna utitiri mkubwa sana kwa sasa wa maduka yanayouza jezi mbalimbali za timu za mpira wa miguu. Kwa...
5 Reactions
70 Replies
1K Views
Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo barabara sana' la kusitisha vita Ghaza Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken ameitolea wito Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina...
0 Reactions
2 Replies
25 Views
Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma. Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu? === Pia soma: Dkt. Mpango...
23 Reactions
164 Replies
10K Views
Utachati naye kila muda. Utampigia kila siku na kumwambia nakupenda kila wakati lakini kuonana naye atakuzungusha sana tu. Ila kuna mwenzako huko anauliza unakuja au hauji. Soma Tena Kwa Mara ya...
5 Reactions
7 Replies
107 Views
Walimu zaidi ya 5000 mkoani Songwe wamejikuta wanamwaga machozi baada ya kuachwa solemba na viongozi wao wa CWT walio waahidi kuwaletea Tisheti watakazo vaa kwenye siku ya wafanyakazi kama...
4 Reactions
19 Replies
515 Views
1. Kwamba kinachoendelea Marekani ni jitihada za Serikali ya huko kupinga haki ya watu kujieleza?! 2. Kutokuheshimiwa huku kwa wazi kwa misingi ya kawaida kabisa ya utawala wa sheria, ni wa...
1 Reactions
22 Replies
166 Views
Wanawake wa siku hizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko? Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa...
25 Reactions
272 Replies
5K Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
148 Reactions
12K Replies
4M Views

FORUM STATS

Threads
1,850,252
Posts
49,541,293
Members
667,368
Latest member
slasymagai
Back
Top Bottom