Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Looking for a meticulous and reliable housekeeper to maintain the cleanliness and organization of your home or office? Meet Zena! With expertise in dusting, cleaning, ironing, and caring for...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wadau wa Jamii Forum hamjamboni nyote? Nimeleta swali kwenu nyie mlio wabobezi wakubwa masuala ya kihistoria na Kiimani pia. Napenda kujua sababu gani hasa ziliwazuia Wana wa Israel...
3 Reactions
3 Replies
373 Views
Najua kuna watu watakuja hapa kunishanga na kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais (ADC) tena...
10 Reactions
66 Replies
2K Views
CHADEMA wamefanikiwa sana hapa Moshi kusimamisha mji mzima, ni matarumbeta, makelele, hamasa kila kona ya mji. Watu wamesimamisha shughuli zote na kuunga mkono juhudi za CHAMA. Asante sana wana...
0 Reactions
3 Replies
39 Views
Ni nini stahiki za hawa watu wawili: 1.) Ameachishwa kazi akiwa na umri wa miaka 56, na ametumikia Serikalini muda wa miaka 36. 2.) Amefukuzwa kazi akiwa na miaka 58, na ametumikia Serikalini...
1 Reactions
18 Replies
752 Views
Kwanza niombe moderators muiache hii thread ijitegemee, inaenda mbali zaidi ya kauli ya Lissu. Kama una akili timamu na za kutosha, utakuwa umegundua kwamba suala la kusema kero za muungano...
3 Reactions
9 Replies
182 Views
Wanabodi, Loe nchi yetu tumeadhimisha miaka 60 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kuwa nchi moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Muungano wetu ni muungano adimu na muungano adhimu...
25 Reactions
76 Replies
1K Views
Wakuu msaada tutani. Kuna mwenye amewahi kuishi au anaishi huko malamba mawili anisaidie uzoefu pakoje kwa maana ya ni tambarare au miinuko, vp maji si tatizo? Na mengine yatayofaa
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Nimeona kabisa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi sasa kutupeperushia bendera ktk uchaguzi ujao awe Profesa Kitila Mkumbo , Huyu atatufaa sana na ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfano hili...
1 Reactions
61 Replies
452 Views
Kweli Kizimkazi anawanyoosha nyie wanyonge wa nchi hii Leo nilitoka nikapanda usafiri wa umma ni muda sana sijapanda daladala Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki😢 Halafu mnaimba kuwa anaupiga...
2 Reactions
15 Replies
112 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,867
Posts
49,530,198
Members
667,271
Latest member
peter one
Back
Top Bottom