Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ule wasi wasi uliowahi kuwapata Omar Albashir na Vladmir Putin sasa umehamia kwa viongozi wa Israel. Hiyo inafuatia na dokezo lilitolewa na wizara ya mambo ya nje ya Israel baada kuangalia...
0 Reactions
2 Replies
24 Views
Katika dunia ya sasa, tunaona shetani akitumia wasanii mbalimbali kuharibu kizazi hiki. Tumeona wasanii wa bongo fleva watu wote waliojiunga na freemasonry, wakija na project mbali mbali za...
1 Reactions
3 Replies
52 Views
Ama kweli: KNOWLEDGE IS POWER. Kama haya ndiyo matusi tunayoambiwa na kina Makonda, basi iko shida mahali bila shaka. Yaani ukweli kwa hawa ndugu zetu, kwao ni matusi. ============= Tukirudi...
12 Reactions
48 Replies
2K Views
Ndugu zangu, kuna namna mabinti wanao somea kozi za ualimu au waliomaliza masomo ya ualimu kuwa rahisi sana kutongozeka na wepesi wa kumuamini mwanaume na kuandamwa na kiu kubwa ya kuolewa mioyoni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wasalaam CHAMA kipo madarakani zaidi ya miaka 60 lakini, 1. Barabara mbovu 2. Maji Safi na salama ni shida 3. Elimu mbovu 4. Afya duni 5. Lishe duni 6. Viongozi kuishi kwa anasa 7. Umasikini...
4 Reactions
15 Replies
207 Views
Khabarini wana jukwaa, Nimekuwa na mahusiano na mke wa mtu takribani miaka minne sasa na hatimaye mwaka huu niliamua kuachana nae kama nilivyoelezea katika uzi wangu wa Msaada: Mke wa mtu anataka...
2 Reactions
20 Replies
283 Views
Nawauliza kwa wema tu nyie wanaume wenzangu. Huo ujassiri wa kuoa mke mwenye mshahara mnautoa wapi? Sababu zenu ni dhaifu eti maisha kusaidiana, au ukifa watoto wasiyumbe. Ahahahah Nyie si ndio...
10 Reactions
35 Replies
730 Views
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika. Huwa najiuliza...
15 Reactions
184 Replies
2K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
KORASHI MKUU WA UAJEMI (Cyrus the Great of Persian Empire) Unapozungumzia dola kubwa na muhimu zilizowahi kutawala kwenye mgongo huu wa dunia basi hutoacha kuzungumzia dola ya uajemi...
7 Reactions
17 Replies
474 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,530
Posts
49,522,100
Members
667,150
Latest member
Ellen Maguzu
Back
Top Bottom