Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakati anakanidhi Ofisi Kwa Mteule Mpya,Efraim Mafuru amesema Mda wowote kutoka Sasa , Serikali ya Mama itaanza ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa Maarufu kama Mount Kilimanjaro...
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Watumishi wa umma wengi sasa hivi wanafuatilia issue ya kikokotoo cha mafao yao ya baadaye. Hata hivyo wapo watumishi wa umma ambao wapo kimya kuhusu kikokotoo labda kwa kuwa miaka yao ya...
13 Reactions
202 Replies
3K Views
Habari Wana jf... mm ni kijana wa miaka 23 ni mwanachuo final year. nilipost nyuzi mbalimbali kuomba msaada juu ya ushauri wa kibiashara Bila mafanikio wengin waliahid kunipa support lkn ulikuw ni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe,mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote? Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi? Nimeona serikali inataka...
4 Reactions
65 Replies
561 Views
Ni Joe Kusaga tena… Waswahili husema mwenye nacho huongezewa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezewa. Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikitika zaidi kwenye tasnia ya...
8 Reactions
60 Replies
487 Views
  • Poll
Jf, Amani iwe nanyi. Wakati CCM ikiendelea kujigamba kuwa na Mgombea Bora zaidi tangu kuanzishwa kwa vyama vingi mwaka 1992 na tangu Uhuru wa Taifa hili mwaka 1961. Kwanini Dkt Samia ni...
0 Reactions
2 Replies
31 Views
Just imagine au ni nguo za show hizi
0 Reactions
4 Replies
149 Views
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
47 Reactions
151 Replies
4K Views
Nimekuta na si mara moja, mwanamume anamchapa mtoto wake kuwa hataki kwenda "chuo"! /Madarasa. Nikamsihi asimchape mtoto (about4-6 yrs) hivyo. Akasema chuo ni lazima, kwingine wala sitamchapa...
0 Reactions
1 Replies
16 Views
Hapa ni baadhi 1. Mbege 2. Dengerua 3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe...
2 Reactions
83 Replies
730 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,209
Posts
49,511,791
Members
667,002
Latest member
JustinDrude
Back
Top Bottom