Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Swali #1. Kati ya Mwanamke na Mwanaume nani ambaye husikia Utamu zaidi ya Mwenzake wakati wa Mbanduano Kitandani? Swali #2. Kati ya Yai na Kuku kipi kilitangulia Kuja / Kujitokeza? Nimeambiwa...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Wakati HAMAS wanaivamia Israel October 7 na kuua kikatili Waisrael zaidi ya 1200 na wengine kuwachukua mateka, walijua wazi kuwa Israel wangelipa kisasi kikatili pia,na walijua kabisa kuwa maelfu...
7 Reactions
15 Replies
503 Views
Hii vita ni kali sana na ilianza tangu wakati wa Nyerere alipotaifisha majumba ya watu wa asili ya watu fulani..Ikaendelea wakati wa Mkapa alipochoma ngano za mfanyabiashara fualani bila vigezo...
10 Reactions
52 Replies
841 Views
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa. Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki. Wapo...
42 Reactions
400 Replies
17K Views
Nchi kumi na nane zimejaribu kuwalaghai viongozi wa Hamas kwamba waachie mateka wote ilionao. Hata hivyo nchi hizo zimekutana na kigingi kutoka viongozi hao wakisema ili mateka hao waachiliwe ni...
1 Reactions
9 Replies
309 Views
Bodi, Hiki kizazi chetu cha kiume kwa sasa kina shida sana. Why? 1. Kizazi kivivu kinachoamini katika mserereko kuliko kufanya kazi na mazoezi 2. Kizazi hiki kinaweza kuwa ndio kizazi...
0 Reactions
15 Replies
78 Views
Jumla ya Ada kwa Miaka yote mitano: 32,769,250 Tukumbuke hiyo ni ada tu haijajumlisha gharama za chakula, hostel, stationary, na mengineyo Swali langu kwa mliosoma ama kusomesha watoto wenu...
19 Reactions
208 Replies
8K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema miaka 60 ya Muungano Wenye KERO lukuki Inatosha Lisu anasema SASA ni Wakati SAHIHI kwa Zanzibar kuwa na Mamlaka yake kamili Ndani ya...
0 Reactions
11 Replies
183 Views
Wadau nimekuwa nazifuatia Mali za CCM.Wakati wa Mfumo wa Chama kimoja cha SIASA ilikuwa WANANCHI wote bila kujali ni mwanachama wa CCM au Huna chama ni LAZIMA uchangie Maendeleo.Wakati wa Ujenzi...
2 Reactions
16 Replies
105 Views
Droo ya robo fainali ilipotoka nilishangaa watu kuwaogopesha yanga kuwa mamelodi watawafunga na kuwapongeza Simba kuwa wamepangwa na vibonde. Ashakhum si matusi, mashabiki wabongo pamoja na...
3 Reactions
19 Replies
185 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,967
Posts
49,502,223
Members
666,900
Latest member
Unyade wade
Back
Top Bottom