Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mambo vipi wazee? Kuna pahala panaitwa Pugu Kazimzumbwi alhamarufu Ushoroba. Ni pazuri sana kwa mkazi wa Dar au Pwani anaetaka kupumzika siku moja au weekend kuzipisha kelele za bodaboda, bajaji...
43 Reactions
81 Replies
2K Views
Nafahamiana na wanawake wengi sana wanasheria, wenye tabia njema na wenye uzuri na mvuto wa kila aina. Wanawake hawa wengi hawana waume, hata kama wana watoto. Baadhi walifanikiwa kuingia...
22 Reactions
235 Replies
8K Views
Leo Geita Gold itamenyana na Azam FC kwenye uwanja wa Nyankumbu Geita. Je, Azam ataweza kumaliza kwenye nafasi ya pili au Geita Gold atapambana ili kujinasua kushuka daraja? Yetu macho.
0 Reactions
14 Replies
389 Views
Leo majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa Azam Complex, timu ya Tanzania Prisons itajipanga mistari miwili kutoa heshima kwa mabingwa wa nchi timu ya Yanga. Baada ya hapo kutapigwa kabumbu...
2 Reactions
95 Replies
3K Views
Nimekaa mitaa mingi maeneo ya kipato cha kati na cha juu hata kufikia kupata kwangu. Changamoto nyingi niliyokumbana nayo ni wakati unatafuta sehemu ukakae peke yako ukatafakari hili na lile...
2 Reactions
24 Replies
105 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Nyasa, ambaye pia anagombea kutetea nafasi hiyo katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa, amewasilisha...
2 Reactions
14 Replies
288 Views
  • Suggestion
Katika sekta ya elimu naipongeza serikali kwa uamuzi wa kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote waliofikisha umri wa kuanza shule. Nawapongeza pia walimu katika utendaji kazi wao wa kutoa elimu kwa...
1 Reactions
1 Replies
16 Views
Asalaam, Hawa viumbe, mimi huwa siwaelewi wanataka nini hasa ili kujenga amani na furaha kwa mara nyingi maana mara zote haiwezekani. Wao ni watu wa mood swing, mimi siwezi kazana na hisia za...
12 Reactions
155 Replies
1K Views
Wakuu nimejaribu kuangalia kwene website yao sioni hata sehemu ya kulog in.
2 Reactions
41 Replies
224 Views
wakuu habar zenu? Teknolojia ya eSim imetukomboa sisi ambao tunamiliki line zaidi ya moja za mitandao tofauti, hii teknolojia nimeipa maua yake aisee. Zaman nilikua nahangaika na kubadilisha...
3 Reactions
13 Replies
475 Views

FORUM STATS

Threads
1,857,946
Posts
49,733,510
Back
Top Bottom