Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Taarifa hii imfikie Mbunge wa Kawe mh Askofu Dr Gwajima Nawatakia Sabato Njema 🐼
2 Reactions
11 Replies
206 Views
Huyu mtangazaji Sauda Mwilima Kama sijakosea jina Yuko wapi siku hizi?.Alikuwa anakipindi star tv,akiwahoji wasanii mbalimbali wa mziki.
4 Reactions
29 Replies
780 Views
Huyu Mwamba aisee amenishangaza. Ame niprove wrong, sikuwa na mwamini kivile. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Chini ya Dr Hussein Mwinyi mtoto wa Hayati Alihasani Mwinyi uongozi wake...
1 Reactions
8 Replies
66 Views
Leo nilikuwa nimetoka ofisini Sasa kwa bahati mbaya kifurushi changu Cha mwezi kikawa kime niishia Na Kibaya zaidi ninapo kwenda siwezi kwenda bila kuwa na mda wa maongezi Nikaona ni vema...
8 Reactions
126 Replies
2K Views
Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu. Kuanzia...
24 Reactions
133 Replies
2K Views
Leo kuna dogo kaja ana lalamika yani alichokisomea anaambiwa alipofika wao wanaelewa kuliko yeye aliyesoma sababu wao wajasomea na hawana haja naye huku wakisema wachuo ni theory sio practice...
2 Reactions
5 Replies
32 Views
Yalisemwa na Prof Shivji (9 Apr 2024, SUA, Morogoro) kuhusiana na athari kwa taifa kutokana na kukosekana kwa vijana wenye kukosa hoja na hata uthubutu wa kuhoji. Kuepuka andiko hili kuwa refu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili. Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba...
9 Reactions
64 Replies
1K Views
Huu msemo wenu wa "tafuteni hela wanaume ili mmiliki pisi kali" hua nauona ni msemo wa kijinga tu, binafsi naipambania pesa kwaajili ya maisha yangu mimi na si ya malaya, mnasujudu ngono sana...
1 Reactions
1 Replies
4 Views
Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu. Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo...
25 Reactions
66 Replies
999 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,968
Posts
49,560,790
Members
667,722
Latest member
AISHAT RASHID
Back
Top Bottom