Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakati Chadema wanatangaza kuandamana Nchi nzima, kupinga Ugumu wa Maisha, Kikokotoo na Sheria mbovu na za kijinga za Uchaguzi, wako wale wenye Ubongo mfupi waliobeza na kutamka kila neno baya...
9 Reactions
61 Replies
792 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan kwa kushirikiana na Familia yake wamechangia kiasi cha Millioni 100 yaani mia moja ,ujenzi...
9 Reactions
116 Replies
3K Views
Katika dunia ya sasa, tunaona shetani akitumia wasanii mbalimbali kuharibu kizazi hiki. Tumeona wasanii wa bongo fleva watu wote waliojiunga na freemasonry, wakija na project mbali mbali za...
5 Reactions
15 Replies
350 Views
Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana. Tunajua Chadema...
8 Reactions
58 Replies
1K Views
- Unamsikia mtu anasema "yani mimi ikipita siku sijapata walau savanna moja mwili unakuwa mzito HADI nipate japo kidogo moja aisee ndo nakuwa sawa". - Au mwingine unamsikia akisema "yani mimi...
2 Reactions
7 Replies
60 Views
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha. Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa...
28 Reactions
104 Replies
2K Views
Miaka ya hivi karibu jamii ya Wakinga ni kama imeamua kuwa serious kupambana na umaskini. Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki. Unfortunately maneno yamenza mara...
23 Reactions
116 Replies
3K Views
Kuna clip nimekutana nayo kwenye social media ikimuonyesha Waziri Simbachawene akieleza "mkakati" wa Serikali kuja na "USAWAZISHO" ili wafanyakazi waweze kuishi na wenza wao. Hoja zake ni chache...
2 Reactions
2 Replies
26 Views
Nimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo...
20 Reactions
195 Replies
9K Views
Vigogo 14 ni kundi la vijana wanaochekewa huku wakifanya damage kubwa katika nchi wana mambo ya mzaha mzaha lkn ni mzaha wenye damage kubwa walianza kiutani utani wakapata uungwaji mkono na kila...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,721
Posts
49,525,991
Members
667,215
Latest member
mrisho salum
Back
Top Bottom