Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salaam, Shalom!! Nimefuatilia Kwa ukaribu jinsi waziri Jerry Slaa anavyofanya katika utatuzi wa migogoro ya ardhi, japo Bado ni mapema sana kusema kuwa anafanya vizuri, lakini Kwa sasa itoshe...
10 Reactions
68 Replies
939 Views
Njemba huyo pichani ambaye ni Mtanzania na mkazi wa Arusha ingawa kwa sasa anaishi nchini Canada amewashangaza watu baada ya kubadili jinsia kutoka kwenye uanaume na kuwa mwanamke, tukio zima la...
22 Reactions
225 Replies
20K Views
Narudia Tena Kwa mfano mods mnielewe siungi mkono ujangili wala vitendo vya kuua tembo ila sasa assume tu umekutana na hilo zali porini kweli ukafanikiwa kulificha chumbani kwako enhe step ya...
0 Reactions
9 Replies
92 Views
Namwona Eric Omond ni mtu mwenye moyo sana. Namwona kama mtu anaye ishi maisha halisia kabisa. Hata komedi zake hazina uongo uongo kabisa. Ukiangalia hii video unaweza toa machozi. Jamaa...
0 Reactions
2 Replies
14 Views
Wakuu natizama maadhimisho ya muungano, idadi ya watu mpaka Sasa ni ndogo mno kulingana tukio lenyewe. Je, ni uwepo wa mvua ama ni watanganyika kutokuona umuhimu wa tukio lenyewe na kukatishwa...
5 Reactions
75 Replies
1K Views
Happy birthday Muungano, how old are you now? 60 years!!! Leo tare 26/04/2024 Muungano wetu Kati ya Tanganyika na Zanzibar= TANZANIA Umetimiza miaka 60....huu ni umri wa mzee mtu mzima...
0 Reactions
41 Replies
344 Views
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini. Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi. Baada ya kusolve na...
0 Reactions
18 Replies
294 Views
Wadau leo nilikuwa natika KIBADA kuelekea MJIMWEMA.Hakika kwa MVUA hizi zinazoendelea kunyesha Barabara hiyo imejaa Maji na Maji yenyewe kwa kukosa MITARO yanakatisha katikati ya Barabara na...
0 Reactions
1 Replies
17 Views
Kwa mimi binafsi naona 1.Nikki mbishi wa tamaduni muzik 2.Leonardo wa cheka tu Taja wa kwako
2 Reactions
31 Replies
247 Views
Niliandika hapa hapa JamiiFoums na tena mwaka huu huu kuwa ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo atakataa kuwa Yanga SC inaenda tena kuwa Bingwa wa NBC Premier League kwa mwaka wa Tatu mfululizo na...
2 Reactions
7 Replies
210 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,776
Posts
49,494,647
Members
666,823
Latest member
jay_mtani
Back
Top Bottom