Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
516K Replies
29M Views
Ndio maana kuna waganga wengine wana hali za kawaida kiuchumi ila watu wanajiuliza kama huyu mganga anaweza kutajirisha watu kwanini yeye hatajiriki, kuna siri kubwa sana! Ipo hivi, hata hao...
56 Reactions
177 Replies
21K Views
VS Tukutane saa 10 jioni kwa updates zaidi kuelekea Ubingwa 2023/2024. Nguvumoja# VIKOSI VYA LEO Kagera Sugar FC Simba SC UPDATES.... 2' Simba wanakosa goli la wazi kabisa hapa. Kupitia...
5 Reactions
113 Replies
1K Views
Kama umekosa huduma ya intaneti kwa saa kadhaa leo, tambua shida sio kifaa unachotumia bali ni tatizo la kiufundi lililotokea kwenye miundombinu ya intaneti iliyopitishwa baharini. Mkurugenzi...
4 Reactions
47 Replies
2K Views
Single moms ni wanawake ambao hawatafuti upendo na wala hawajui kupenda Wao huwa wanatafuta wanaume wajinga wajinga wa kuwasaidia hasa kwenye malezi Moja ya wanaume wajinga ni mcheza kikapu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Leo imeripotiwa kuwepo kwa kukatika kwa mawasiliano lililotokana na hitilafu baharini unapopita mkonga wetu wa Taifa. Mitaandao yote ya mawasiliano imekuwa down kwa muda kiasi na hadi sasa...
3 Reactions
13 Replies
378 Views
Jamaa ni bodaboda hapa Dar es salaam, juzi kaenda na boda yake mpaka Serena Hotel ili akatoe nuksi a.k.a kuushitua umaskini. Kaagiza Biriani 40,000 na soda ya Mirinda kwa sh. 6500 jumla kuu ikawa...
3 Reactions
9 Replies
420 Views
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na...
8 Reactions
84 Replies
2K Views
"Asili ya Dhahabu: Ugunduzi Mpya katika Ardhi ya Tanzania! Kupitia juhudi za kisayansi na utaalamu wa jiolojia, nimeweza kufanya ugunduzi wa eneo lenye thamani kubwa ya madini ya dhahabu na copper...
7 Reactions
62 Replies
2K Views
Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau? ======= Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za...
8 Reactions
88 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,359
Posts
49,601,726
Back
Top Bottom