Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nchi kumi na nane zimejaribu kuwalaghai viongozi wa Hamas kwamba waachie mateka wote ilionao . Hata hivyo nchi hizo zimekutana na kigingi kutoka viongozi hao wakisema ili mateka ho waachiliwe ni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ajali imetokea jana usiku mida ya saa 8 nadhani, boda boda wa mbezi wamefika eneo la tukio wanawapigia simu polisi kuwapa maelezo ya tukio ili wafike kwa wakati lakini ajabu jibu walilotoa askari...
9 Reactions
123 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu Naomba kupewa ABC kuhusu hii kitu nimekuwa nikifatilia since wayback lakini sijaanza kushiriki mana sijui natakiwa niwe na kitu gani haswa chamsingi Nawasilisha
0 Reactions
3 Replies
104 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
382K Replies
10M Views
Katika Vitabu vyote vya dini zote, Tumeambiwa Jinsi ambavyo Mungu aliumba dunia, ila hakuna hata mahari pamoja panapotuonyesha Mungu akiumba "Sheria" (Usininote Vibaya Ukadhani nazungumzia Amri...
0 Reactions
1 Replies
14 Views
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa. Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki. Wapo...
20 Reactions
199 Replies
6K Views
Ewe kijana kama upo tu nyumbani huna ramani unashinda umelala siku nzima unaona kazi siku hizi hamna, basi haraka sana tafuta mwanamke uoe. Nakuhakikishia utapata kazi haraka sana na utaacha...
13 Reactions
64 Replies
845 Views
Nimepita mtandaoni huko nimekuta hili shirika limeweka tangazo kwamba kutakuwa na maboresho leo usiku kuanzia saa 6 mpaka tarehe 28. Maboresho hayo yatahusisha T-PESA, data(mliofunga faiba...
2 Reactions
11 Replies
107 Views
  • Sticky
Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters. The club formed in 1902. Stadium: Santiago Bernabéu...
38 Reactions
51K Replies
2M Views
Kwa hali ya kisiasa ilivyo hivi sasa nchini, ni dhahiri mgombea urais wa chama Tawala yuko bayana na anafahamika kwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla, ni suala la muda tu waamue...
2 Reactions
15 Replies
113 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,893
Posts
49,499,205
Members
666,876
Latest member
Nyabhahimba mbatelo
Back
Top Bottom