Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimepita mtandaoni huko nimekuta hili shirika limeweka tangazo kwamba kutakuwa na maboresho leo usiku kuanzia saa 6 mpaka tarehe 28. Maboresho hayo yatahusisha T-PESA, data(mliofunga faiba...
1 Reactions
8 Replies
48 Views
Habari za uhakika ni kwamba yule Kocha aliyefeli vibaya simba kuliko makocha wote ameomba kuondoka simba ifikapo mwisho wa msimu. Sababu ni kwamba Simba hawampi thamani pia haoni mipango yoyote...
8 Reactions
60 Replies
2K Views
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari. Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo...
11 Reactions
83 Replies
2K Views
Hii game imesimamishwa kwa sababu ya Radi
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wanasimba wamekuwa wakidanganyika na viongozi wao wakiwahadaa ati wao ni mabingwa wa community shield, ambao sio kweli Wataambia kesho eti wamekuwa mabingwa wa Muungano ambao sio kweli Wanasimba...
2 Reactions
22 Replies
167 Views
Nimeona taarifa ya Habari, Al Jazeera,wameandika watu wamepoteza maisha nchini,takribani 155. Sijasikia hizi taarifa Kwa vyombo vyetu vya ndani,hata hapa jukwani,sijaona tatizo Hilo kupewa...
1 Reactions
7 Replies
251 Views
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo. Kwenye clip...
26 Reactions
223 Replies
12K Views
Wanaukumbi. BREAKING: 🇮🇱Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel Itamar Ben Gvir alijeruhiwa wakati gari lake la serikali lilipopata ajali na kupinduka. Alipelekwa hospitali Mungu kamuonyesha kidogo...
0 Reactions
5 Replies
110 Views
Salamu Wakuu, Nimegundua Suala la uaminifu bado ni changamoto kubwa sana hapa nchini Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kupatiwa fedha pungufu kila wakichukua hela kupitia kwa...
4 Reactions
57 Replies
1K Views
Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza anayesoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye jina lake halijawekwa wazi inadaiwa ametaka kufanya jaribio la kujiua akiwa chuoni hapo chanzo kikitajwa ni masuala ya...
9 Reactions
74 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,881
Posts
49,498,454
Members
666,862
Latest member
Mr Ntinginya
Back
Top Bottom