Ni maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
Rais Samia awaongoza Marais wa Africa kwenye tukio hili muhimu Sana
Sherehe ziko mubashara TBC
Jumaa Mubarak 😄
Kwanini ulimblock, lakini pia ulimdelete au kumu-ignore kabisa kwenye mitandao ya kijamii?
Ni baada au kwasababu ya kupishana, kutofautiana au kushindwana kimahusino mathalani ya kimapenzi...
MUUNGANO NI TUNDA TAMU LA MTI WA UPENDO ( AMANI KARUME -ASP NA MWL JULIUS NYERERE - TANU )
Miaka 60 ya Muungano.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Dr Samia Suluhu Hasan na Dr Husein Mwinyi kwa...
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Nilijua kuwa Makonda kwa staili na hulka yake hasingeweza kubaki kwenye nafasi ya Katibu mwenezi wa CCM kwa muda mrefu na imetokea.
Pia Makonda kubaki RC wa Arusha ni suala la muda tu.
Makonda...
Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza anayesoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye jina lake halijawekwa wazi inadaiwa ametaka kufanya jaribio la kujiua akiwa chuoni hapo chanzo kikitajwa ni masuala ya...
Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani kutokea ACT wazalendo peleka pendekezo bungeni ofisi ya DCI iwe Huru kama alivyo DPP
Hii itaboresha utendaji wa Taasisi za Haki
Jumaa Mubarak 😃😃
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.