Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nafasi ya Polisi katika nchi, tofauti na wengi wanavyoamini, ni muhimu sana kwa ustawi wa nchi. Kwa hapa kwetu nchini, kwa muda mrefu, imejengeka imani kuwa watu wenye uwezo mdogo wa kimasomo...
4 Reactions
9 Replies
164 Views
Assalamualaikum Wana familia ya jf. Nina ishi mbeya mjini sehemu inaitwa Airport ya zamani. Natafuta mwanamke anayejitambua na mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia. Sifa zake Awe mwanamke...
18 Reactions
176 Replies
1K Views
Naomba kuuliza juu ya Tangazo hili kama ni la kweli, maana linasambaa sana. [emoji120]
10 Reactions
143 Replies
7K Views
Muda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji. Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
3 Reactions
111 Replies
6K Views
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari. Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo...
3 Reactions
36 Replies
340 Views
ITV wameripoti Sehemu ya barabara Darajani Salender imeanza kumomonyoka kufuatia mvua zinazoendelea kuonyesha Nawasihi Sana Tanroads wafanye haraka kurekebisha pale darajani Mlale Unono 😃
9 Reactions
53 Replies
2K Views
Celebrities anaabudu pombe na Mademu. Siku likimkuta Jambo anaaibika hadharani kabla na baada ya Maziko, watoto wanabaki kugawana makochi na harrier old model. NB: Tengeneza future ya wategemezi...
22 Reactions
122 Replies
4K Views
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi. TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa...
3 Reactions
68 Replies
1K Views
Habari za muda huu wana jf. Natumai mpo salama na wenye changamoto za kiafya naamin Mungu atawaponya. Kwanza kabisa natanguliza salamu zangu za pole kwa watanzania wote na familia ya Joshua...
4 Reactions
17 Replies
799 Views
Wakuu habari zenu, Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school, nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala...
14 Reactions
415 Replies
33K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,628
Posts
49,490,469
Members
666,782
Latest member
Borauzimaa
Back
Top Bottom