Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wiki ya Maandamano bado inaendelea , ambapo leo imefika Mkoani Mara . Hapa Mkoani Mara anayeongoza Maandamano haya ni yule yule Mwamba Kabisa Freeman Mbowe Usiondoke JF kwa vile inatarajiwa...
1 Reactions
29 Replies
985 Views
Ujue ugonjwa wa afya ya akili Kwa watoto Afya ya akili ni ustawi wa kihemko, kisaikolojia na kijamii. Inathiri jinsi unavyofikiria, kudhibiti hisia na kutenda. Ugonjwa wa afya ya akili...
0 Reactions
2 Replies
326 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
382K Replies
10M Views
Wakuu Mimi nikiwa kama mwananchi kindakindaki kabisa Nakiri binafsi na naomba tuwaombee watani zetu hawa mbumbumbu wajitahidi hata waishie nafasi ya pili ili sisi na wao tucheze huko CAF kuliko...
0 Reactions
62 Replies
134 Views
Ndugu zangu Watanzania, Uchunguzi wa kina nimeufanyika na kuona kuwa muuza madafu aliyeonekana katika viwanja vya ikulu na Mwanajeshi kutoka kikosi maalumu cha Makomando waliofanya maonyesho siku...
2 Reactions
27 Replies
191 Views
Habaro wakuu Nimefuata hatua zote za kupata passport mtandaoni ila natakiwa kuwasilisha karatasi form ila viambata vya cheti cha kuzaliwa sina, cheti cha kuzaliwa mzazi sina. Je, naweza pata...
3 Reactions
29 Replies
899 Views
Eeh Mungu ikikupendeza, Mamelodi awe wamwisho, awe namba nne. Afungwe mechi zote. Amen
1 Reactions
19 Replies
418 Views
Kwa mimi binafsi naona 1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik 2. Leonardo wa Cheka Tu Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku...
12 Reactions
92 Replies
2K Views
Roku TV, Android TV, Smart TV, AI TV, Google TV, Mini LED TV, QLED TV, na kadhalika ni baadhi ya maneno ya masoko yanayotumiwa na wazalishaji wa TV hivi sasa. Kusema ukweli, ni ngumu kutofautisha...
5 Reactions
9 Replies
547 Views
Kenya iliorodheshwa katika nafasi ya nne katika nchi tajiri zaidi barani Afrika na siku 2 zilizopita Kenya imeorodheshwa miongoni mwa masoko makubwa matano tajiri barani Afrika yenye mamilionea na...
3 Reactions
24 Replies
643 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,911
Posts
49,499,816
Members
666,883
Latest member
abdallah kheri
Back
Top Bottom