Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanabodi, Kufuatia chokochoko ya kuuchokoa Muungano ilioanzishwa na kikundi cha Uamsho huko Zanzibar, na kuungwa mkono na Wazanzibari wasioutakia mema huu Muungano wetu adhimu, zimeanza kutolewa...
10 Reactions
136 Replies
19K Views
  • Poll
Tanzania imeshapitia Awamu sita kama sio tano za Marais tofauti tofauti. Je ni Rais Gani aliependwa kuliko wote Tanzania?
21 Reactions
732 Replies
31K Views
Maandamano yanayoambukizika ya vyuo vikuu maarufu nchini Marekani yameanza kuihofisha serikali kuu ya nchi hiyo. Nguvu zimetumika kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Columbia baada ya spika...
0 Reactions
31 Replies
824 Views
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura...
69 Reactions
413 Replies
9K Views
1. Gaza ni kaeneo kadogo ka size ya kinondoni, ilala au temeke huko; kigamboni, bagamoyo, Pemba au Mafia ni kukubwa mno kuliko Gaza. 2. Vi kinondoni, ilala, au temeke huko ni vi mikoa vya...
8 Reactions
38 Replies
334 Views
Nadhani wanajamiiforum mmeona aliyosema Tindu lissue leo mpaka TBC wakaamua kukatisha matangazo yao Lakini inavyoonekana kuwa Tindu Lissu kaja JF kanyofoa data zote za Pasco wa JF kisha kaenda...
7 Reactions
45 Replies
9K Views
Wanabodi, Prof. Shivji anatoa muhadhara wa kuchochea mawazo na fikra mbadala kuhusu Muungano!. Atoa mambo mazito ambayo huwezi Sasa watu wanaanza majadiliano! Hotuba ya Prof. Issa Shivji...
18 Reactions
467 Replies
58K Views
Naam, watanganyika ndio wazenji halisi, siyo waunguja na wapemba kama inavyoaminika kwa wengi! Bendera ya iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Tanganyika Nasisitiza tena, watu wa Tanzania bara ndio...
6 Reactions
49 Replies
556 Views
Wiki ya Maandamano bado inaendelea , ambapo leo imefika Mkoani Mara . Hapa Mkoani Mara anayeongoza Maandamano haya ni yule yule Mwamba Kabisa Freeman Mbowe Usiondoke JF kwa vile inatarajiwa...
0 Reactions
5 Replies
72 Views
Wanabodi, Wakati mchakato wa Bunge la Katiba unaendelea, kumezidi kuibuka mijadala mikali, kuhusu serikali 3 zilizopendekezwa na Tume ya Warioba au kushikilia serikali mbili ambayo ndio sera ya...
6 Reactions
64 Replies
8K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,741
Posts
49,493,265
Members
666,810
Latest member
britanny
Back
Top Bottom