Hadi Sasa plate number zinasoma EH... ikiwa ni miezi 6 tu toka herufi E kuzinduliwa.
Inasemekana Kila herufi ndani ya herufi kuu Inabeba magari 1000. Hivyo toka Herufi E Imeanza tumeagiza magari...
Habarini,
Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha...
Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu.
Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake...
Biggest mistake you can ever make is making someone else's happiness your priority
"I made sure you were happy even when I wasn't" I felt that line🥹
Guys it's ok to be selfish and self centered...
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba
Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"
Source: EATV
CCM kuna...
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
Heshima kwenu,
Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT).
Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo...
Chadema na uongozi wenu jengeni chama mstumie muda mwingi kurumbana muda ni mdogo whoever atagombea urais ataliwa kichwa bora mkagombee kwenye majimbo tupate wabunge wa kujenga hoja. Hakuna wa...
Akili kubwa ametumia mtumishi wa Mungu kwenye hili la kikokotoo.
=====
Pastor Daniel Mgogo: Kabla mtu hajastaafu apewe chake, siku ile anasaini fomu ya kwamba nimestaafu, muamala umesoma.
Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.