Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mzuka wanajamvi! Yuko london Ungereza endeleeni sasa kuroga na kumuombea mabaya. Anachowaombea tu ni wawili muishi maisha marefu na msiwe vipofu. Kufa hamfi lakini cha moto mnaona.
1 Reactions
6 Replies
7 Views
Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote Sijui kuna agenda...
14 Reactions
122 Replies
2K Views
Kuna ukweli tunatotakiwa kuufafanua na kama ni kero irekebishwe kama kweli tunafikiri muungano huu ni wa muhimu. 1. Wazanzibar wengi sana wanamiliki ardhi na majengo bara, kama raia. ila Wabara...
0 Reactions
4 Replies
37 Views
Wakuu..niko morogoro wilaya flani kikazi. Hapa kuna mchepuko wangu flani,so kwa jinsi mvua zinavyopiga huu mkoa nikasema ngoja nikajipumzishe kwa huu mchepuko..ebana nilikua na mavuzi mengi tu coz...
4 Reactions
11 Replies
88 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
924 Reactions
1M Replies
40M Views
Habari wakuu... Hivi hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original... Mfano kuna jamaa anauza creed aventus mils 100 kwa 55k... Kuna aliyewahi tumia? Ubora upoje?
3 Reactions
145 Replies
4K Views
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza. Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira. Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel...
26 Reactions
368 Replies
4K Views
Nakumbuka kipindi Cha nyuma kulikuwa na hii bidhaa ya ivory tomato. Siku hizi haionekani kabisa?? je wakuu wali iondoa sokoni, au Kuna sehemu Hawa isambazi?!. Hii ilikuwa nzuri zaidi ya Ile red...
1 Reactions
14 Replies
139 Views
Siyo mzaha jamaa kwa biashara wako vzr sna Kuna mtaa naishi hapa dodoma Basi kulifunguliwa vi car wash Kama mbili tatu hv na baadae mchaga mmoja ambae Ni Dr wa Benjamin mkapa nae akaja kuanzisha...
5 Reactions
37 Replies
654 Views
  • Suggestion
Tumekua tukitamani na sisi nchi yetu iwe kama nchi za ulaya kimuonekano, kwani zina nuonekano mvuri, mandhari nzuri na mazingira safi, hata sisi tunaweza kuifanya Tanzania yetu ionekane kama nchi...
0 Reactions
1 Replies
10 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,617
Posts
49,579,703
Members
668,073
Latest member
Bruno Nemes
Back
Top Bottom