Recent content by zZoo

  1. Z

    KERO Wafanyabiashara wadogo Morogoro wanakumbana na Udalali wa maeneo ya biashara; wanalipishwa mara 5 zaidi ya bei halisi

    Nipo Morogoro. Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ina maeneo ya biashara ambayo wafanyabiashara wadogo hupanga kwa gharama ya shilingi elfu hamsini. Hata hivyo, maeneo hayo yamechukuliwa na baadhi ya wafanyakazi pamoja na watu wenye fedha, ambao huwapa vijana wapangaji kwa shilingi laki tatu...
Back
Top Bottom