Recent content by Zurie

  1. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Hii ni kweli kabisa. Ingawa vitu viwili alivyotaja vilikuwa sio vya maumbile. Ni more of kuhusu personality yake
  2. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    I’m telling you the way nimejizuia kuuliza swali hili nyumbani kwangu😆…natamani kuuliza ila kuna sauti inaniambia “mwana kulifind, mwana kuliget”
  3. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Huruma ndo kitu huna au sio?😭
  4. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Ah potelea pote. Love dey sweet oo
  5. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Too late!
  6. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Napendwa ndani kwa ndani sio?
  7. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Kwani anaitaka?
  8. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    🤭🤭nitachagua mapenzi na sio pesa
  9. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    I hope so kwakweli
  10. Zurie

    JamiiForums Tanzania Gademuiti: Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Juzi nimekaa na rafiki yangu fulani, tunaongea tu mambo ya maisha. Katika maongezi shwaa tukamuongelea mkewe. Nikaona nipitishe swali "kwani mkeo unampendea nini?" Akajibu in like 3 seconds, kwa kusema two very beautiful things anapenda kwa mkewe tena ni vitu kuhusu mkewe as a person, sio...
  11. Zurie

    JamiiForums Tanzania Haki ya Mtoto Kutunzwa na Wazazi Wote Wawili Baada ya Utengano – Funzo Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania

    Watoto wanaopitia divorce za wazazi have it harder kuliko hata waliolelewa na single parents from the beginning. Namaliza kwa kusema #kataandoa🤣
  12. Zurie

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye sauti zenye "base" la kutetemesha wameishia wapi?

    Tatizo mmetufanya tunapambana sana siku hizi. Haiba ya kike inaflourish kwenye utulivu Mkuu. Mtu umetoka ofisini kufoka au umetoka kukimbizana na deadline haiba ya kike unaitoa wapi? Haiba ya kike na stress mbalimbali.
  13. Zurie

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye sauti zenye "base" la kutetemesha wameishia wapi?

    Kumradhi G :D
  14. Zurie

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye sauti zenye "base" la kutetemesha wameishia wapi?

    Tujibu kwanza hoja iliyo mezani kisha hizi za kwenye mafaili kabatini tutazitoa baadaye
Back
Top Bottom