Nikaenda hotel karibu na nyumbani nikapiga usingizi. Matokeo yake yeye ndo hakulala kupiga simu mara 20+ usiku wakati mwenzie nimelala.
Siwezi kuwapa stress ndugu, marafiki kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu.
Kwamba mwanaume anaweza kufunga mlango wa nyumba tunayoishi pamoja nisiingie eti sababu nimechelewa kurudi. Na kwamba anategemea akinifungia hivyo niende kulala kwa wazazi wangu😂😂😂😂😂.
Mimi nashangaa mwanamke mwenye mume kuombaomba hela wanaume wengine (hata kama ni kaka zake) imekaaje.
Mimi hata baba yangu mzazi simuombi pesa maana ni kumchoresha mumeo.
Naomba mtu mmoja akili kubwa anielezee haya maamuzi ya dola kuimarika sijui kufubaa nani anayafanya na kwa sababu gani.
Sio kwamba sina akili, ila nina akili za aina nyingine😅. I swear nitaelewa
Wanachat kazi, wako profession moja na same sector so updates na kadhalika. Kampuni zao pia ni kampuni rafiki so kuombana ushauri hapa na pale on how to handle things. Socially sio sana, ni kumcheck tu hujambo, au jokes za hapa na pale but sio sexual au romantic jokes. Akiweka picha ya chakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.