Nashukuru umekuja ndugu Mbunge maana umesema "tunafanya kazi nzuri" nime-assume wewe ni Mbunge
Wabunge kwanza hamuishauri wala kuisimamia Serikali kwenye mambo yanayomatter. Mnapewa tu maamuzi mnayakubali au mnapinga kisanii na hoja zinapita kwa kishindo. Hapo kwenye kusimamia ndo uwiii; kwanza...
Habari WanaJF..
Huwa mara nyingi Watanzania hususani vijana wanapush kuwa minimum requirement ya kuwa Mbunge kielimu ambayo ni ujuzi wa kusoma na kuandika ibadilishwe na hupendekeza iwe uhitimu wa shahada au shahada za uzamivu na uzamili.
Sasa, tuje kwenye uhalisia. Sote tunaona Wabunge wetu...
Hadi ile PR Company tuliyoipa bilions imalize list yake ya activities za kujisafisha tutakuwa tumechoka.
Kombo na Kabudi wanadanga ughaibuni, Mwigulu anadanga mikoani, mama anaenda Maternity Leave :KEKWlaugh: :KEKWlaugh: :KEKWlaugh: :KEKWlaugh: :KEKWlaugh:
Sasa kama wa ndoa si nakusoma sana nataka kukujua kindakindaki kama unajua kuhandle, unajua kudekeza. Wa kutafunwa sio wa matumizi endelevu…so fasta fasta tuko nje ya muda.
Nimzingue nataka anioe kwani? Yani nina mume wangu nianze tena kufanya kuchkuch hotahe na kwa mchepuko jamani? Atatafunwa, anyonywe atemwe kama miwa.
Hii bangi ya leo Dulla amezidisha kipimo
Wewe kwisha habari yako. Mimi kuna niliyemtongoza 2024 na sijamla hadi leo. Nimemuweka akiba siku nikiwa na njaa.
Muhimu kashaingia kwenye database, nimemsajili.
(NB: Huu ujumbe nimeandika tu kuchangamsha genge, nina ndugu jamaa na marafiki humu wasichukulie serious sana. Hi binamu - nyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.