Recent content by Zurie

  1. Zurie

    Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Ah wapi!!!! Mimi sitokula aliyepita 25. Yaani nina IST ya kuhonga nikale mtu ushafika midlife??
  2. Zurie

    Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Si anataka utelezi? Si anataka maisha mazuri? Mwanaume atakula kwa jasho - iwe la kulima au kupindua mshangazi…
  3. Zurie

    Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Kijana wangu wa kwanza atakuwa late 20s. Robert Heriel Mtibeli kasema eti tunakuwa na mikunjo🤣
  4. Zurie

    Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Mimi ninachoweza kusema, chungeni wanenu… Maana nikifika hiyo 50😆😆😆😆😆😆 Salaaaleeee
  5. Zurie

    Hivi, minimum requirement ya kuwa Mbunge Tanzania ikiwa labda Masters Degree ndo tutapata mabadiliko?

    Nashukuru umekuja ndugu Mbunge maana umesema "tunafanya kazi nzuri" nime-assume wewe ni Mbunge Wabunge kwanza hamuishauri wala kuisimamia Serikali kwenye mambo yanayomatter. Mnapewa tu maamuzi mnayakubali au mnapinga kisanii na hoja zinapita kwa kishindo. Hapo kwenye kusimamia ndo uwiii; kwanza...
  6. Zurie

    Hivi, minimum requirement ya kuwa Mbunge Tanzania ikiwa labda Masters Degree ndo tutapata mabadiliko?

    Habari WanaJF.. Huwa mara nyingi Watanzania hususani vijana wanapush kuwa minimum requirement ya kuwa Mbunge kielimu ambayo ni ujuzi wa kusoma na kuandika ibadilishwe na hupendekeza iwe uhitimu wa shahada au shahada za uzamivu na uzamili. Sasa, tuje kwenye uhalisia. Sote tunaona Wabunge wetu...
  7. Zurie

    Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

    Hadi ile PR Company tuliyoipa bilions imalize list yake ya activities za kujisafisha tutakuwa tumechoka. Kombo na Kabudi wanadanga ughaibuni, Mwigulu anadanga mikoani, mama anaenda Maternity Leave :KEKWlaugh: :KEKWlaugh: :KEKWlaugh: :KEKWlaugh: :KEKWlaugh:
  8. Zurie

    Jeshi la Polisi fungueni "comment section" tumsifie Mafwele

    Amejaa tele, wako naye ila hawatambi naye maana wanafunga comments:KEKWlaugh::KEKWlaugh::KEKWlaugh:
  9. Zurie

    Jamvi la wanawake: Kwanini wanawake wengi huwa hawana uthubutu wa kuweza kuwatongoza wanaume?

    Binamu Nimekumiss pia sana sana. Wote ni wazima, natumai wenzao wako poa. Eid mosi au pili itabidi nipande meli
  10. Zurie

    Jamvi la wanawake: Kwanini wanawake wengi huwa hawana uthubutu wa kuweza kuwatongoza wanaume?

    Sasa kama wa ndoa si nakusoma sana nataka kukujua kindakindaki kama unajua kuhandle, unajua kudekeza. Wa kutafunwa sio wa matumizi endelevu…so fasta fasta tuko nje ya muda.
  11. Zurie

    Jamvi la wanawake: Kwanini wanawake wengi huwa hawana uthubutu wa kuweza kuwatongoza wanaume?

    Nimzingue nataka anioe kwani? Yani nina mume wangu nianze tena kufanya kuchkuch hotahe na kwa mchepuko jamani? Atatafunwa, anyonywe atemwe kama miwa. Hii bangi ya leo Dulla amezidisha kipimo
  12. Zurie

    Jamvi la wanawake: Kwanini wanawake wengi huwa hawana uthubutu wa kuweza kuwatongoza wanaume?

    Wewe kwisha habari yako. Mimi kuna niliyemtongoza 2024 na sijamla hadi leo. Nimemuweka akiba siku nikiwa na njaa. Muhimu kashaingia kwenye database, nimemsajili. (NB: Huu ujumbe nimeandika tu kuchangamsha genge, nina ndugu jamaa na marafiki humu wasichukulie serious sana. Hi binamu - nyama...
  13. Zurie

    Jamvi la wanawake: Kwanini wanawake wengi huwa hawana uthubutu wa kuweza kuwatongoza wanaume?

    Tunatongoza sana, kila siku. Ila usitegemee tutumie mbinu zile zile za wanaume. Sisi ni wa kike bwana!
  14. Zurie

    Mimi naogopa sana mke wa mtu

    Chagua moja, unaogopa mke wa mtu au wanawake wote?
  15. Zurie

    Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    Hivi condoms ziliwafanya nini wanaume??
Back
Top Bottom