Recent content by Zurie

  1. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Kunywa chai na vitumbua hivyo though tetesi za humu ndani zinadai una "aleji" navyo. Heheeeeee
  2. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Ni kweli
  3. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Kwamba hakuna mume mzuri duniani?
  4. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Ofa bado ipo?
  5. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Hii ni kweli kabisa. Ingawa vitu viwili alivyotaja vilikuwa sio vya maumbile. Ni more of kuhusu personality yake
  6. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    I’m telling you the way nimejizuia kuuliza swali hili nyumbani kwangu😆…natamani kuuliza ila kuna sauti inaniambia “mwana kulifind, mwana kuliget”
  7. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Huruma ndo kitu huna au sio?😭
  8. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Ah potelea pote. Love dey sweet oo
  9. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Too late!
  10. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Napendwa ndani kwa ndani sio?
  11. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Kwani anaitaka?
  12. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    🤭🤭nitachagua mapenzi na sio pesa
  13. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    I hope so kwakweli
  14. Zurie

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza swali rafiki yangu; nimepata wivu usiomithilika

    Juzi nimekaa na rafiki yangu fulani, tunaongea tu mambo ya maisha. Katika maongezi shwaa tukamuongelea mkewe. Nikaona nipitishe swali "kwani mkeo unampendea nini?" Akajibu in like 3 seconds, kwa kusema two very beautiful things anapenda kwa mkewe tena ni vitu kuhusu mkewe as a person, sio kama...
  15. Zurie

    JamiiForums Tanzania Haki ya Mtoto Kutunzwa na Wazazi Wote Wawili Baada ya Utengano – Funzo Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania

    Watoto wanaopitia divorce za wazazi have it harder kuliko hata waliolelewa na single parents from the beginning. Namaliza kwa kusema #kataandoa🤣
Back
Top Bottom