Juzi nimekaa na rafiki yangu fulani, tunaongea tu mambo ya maisha.
Katika maongezi shwaa tukamuongelea mkewe. Nikaona nipitishe swali "kwani mkeo unampendea nini?"
Akajibu in like 3 seconds, kwa kusema two very beautiful things anapenda kwa mkewe tena ni vitu kuhusu mkewe as a person, sio...
Tatizo mmetufanya tunapambana sana siku hizi. Haiba ya kike inaflourish kwenye utulivu Mkuu. Mtu umetoka ofisini kufoka au umetoka kukimbizana na deadline haiba ya kike unaitoa wapi?
Haiba ya kike na stress mbalimbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.