Recent content by Zumarudi

  1. Z

    Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

    Sawa ahsante ntalifanyia kazi
  2. Z

    Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

    Iyo chumvi ya mawe wanatumiaje naomba nielekeze
  3. Z

    Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

    Kipindi tunaona huyu Rafiki yake hakuwepo mume wangu alikua na marafiki zake wengine na nilikuwa napatana nao wote baada ya kuja dar ndio kampata uyo Rafiki marafiki zake wa zamani mmoja wapo alikuja dar kututembelea mi nilikuwa nimesafiri nilivo rudi akaniambia shemu uyu Rafiki wa mumeo wa sasa...
  4. Z

    Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

    Ahsante sana ntakufanyia kazi Sijajua kitu gani kinampa jeuri maana uyo Rafiki yake na mkewe Kuna kipindi mpaka wananitukana mume wangu hafanyi chochote na Mimi huwa siwajibu
  5. Z

    Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

    Habari zenu wapendwa, Mwenzenu nina changamoto nipo kwenye ndoa miaka 13. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana tulikuwa marafiki wazuri ila baada ya kuhamia Dar mwaka 2015 kuanza maisha mume wangu akapata Rafiki uyo Rafiki yake ni wale watu wenye uswahili mwingi maisha yakaendelea...
Back
Top Bottom