Kwa kweli we Tanzanian we got a long way to go,watu wengi wamecomments kwa kutomuelewa mtoa maada msg yake kama wameshindwa kuelewa msg kama hii wataelewa kitu gani Tena?Mtu mwenye upeo mkubwa ataelewa nini mtoa maada anamaanisha.
Alikuwa karibu na wasanii wa ndani na nje kwa kiasi kikubwa...
Jaman hatakuweni na akili kidogo hata kama ni akili za kushikiwa jiongezeni.Hiii ni issue ya kitaifa. Makonda ni kiongozi wa kitaifa kusort out hii issue?ccm kweli kila mtu ni msemaji.sitoshangaa kesho kwenye vyombo vya habari kusikia tena mkuu wa wilaya ya Arusha mjini au Mbeya naekaunda kamati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.